FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024

Pamoja na nguvu na kukimbia kwa KIBU na MUTALE , kama SIMBA ingepata mbadala qallity players ...ingetisha
 
πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ’€πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ˜΄πŸ’€πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•!

Cc Smart911
 
Pamoja na nguvu na kukimbia kwa KIBU na MUTALE , kama SIMBA ingepata mbadala qallity players ...ingetisha
KIbu angekuwa na muendelezo wa level ya msimu uliopita, angetisha sana kwenye Simba hii. Mutale ni wa kuachwa. Ahoua ni wa kutafutiwa mbadala ila anahitaji muda akue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…