blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Naomba link wakuù
Ona ! Kwani huna macho..Duh hii ni audio mimi nataka kuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba link wakuù
Ona ! Kwani huna macho..Duh hii ni audio mimi nataka kuona
Utateseka sana mrembo msimu huu
Wivu tunaangalia kipigo cha nyau, katangulia tu
Una haha sana. TuliaaBall linapendeza hili
Azam ndio duka la KolozidadLinarudi hilo azam must win this game
Hawajawahi kuwa SeriousHawa Azam sio wa kuwawekea mdhamana😏
Hivi hakuna usajili mpya nafasi ya kapombe!?..mtu ana miaka 40+ bado
Siangalii mpira,vipi mzuri?Hawa Azam sio wa kuwawekea mdhamana😏
Pira la azam vipi, zuri?Una haha sana. Tuliaa
Kaduguda huko aliko anavimba tu kama kitambi chake kilichojaa gesi mzee mjinga yuleSi tuliambiwa anatoa assist tu, yeye hafungi?
Siyo tatu huyo?.. mtazame vizuriMama kibendera anawalalia Azam sana.
Timu ya mhasibu wa simba imekutana na simbaLambalamba zimekuwa Uji wa moto baada ya kukaangwa kwa pumzi ya moto