Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Y. Diabby mmempa kiasi gan?
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kamuulize ww si ndo mzee wa porojo 😃😃Y. Diabby mmempa kiasi gan?
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kwanini?Huu uwanja uto wameufanyia kitu, una viashiria vya uchafu fulani kufanyika walipocheza na wale wanafunzi wa chuo
Usiwe na haraka mkuu huo mda utafika tutaona kwenye points kama usajili ni mzuri,sasa hivi tunashinda sana hatuwezi kugundua hilomwanzoni hata usajili huwa mko vizuri, ila baadae mnaanza kumkataa mo na wafuasi wake
Bingwa.?Chezea simba ww...
Simba Bingwa
Unauliza au unakazia😄😄Bingwa.?
FT AZAM 2- Simba 2
Useng(e) anaoufanya umeuona??Kamuulize ww si ndo mzee wa porojo 😃😃
Kafwanyeje?? Siku mkicheza nao atafanya pia huo uswenge...Useng(e) anaoufanya umeuona??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Useng(e) anaoufanya umeuona??Simba hii haya maswali mtauliza sana
Ni ama Azam wanatumia nguvu mno au kuna jini majeraha linawanyemelea wachezaji wa Simba, Halafu kama timu zote mbili zinaona vivuli vya wachezaji ambao hawapoKwanini?
Ana balaaa huyoAwesu anataka aonyeshe kitu.....!
Kama Watu wameanza kusahau vitu vyake hivii!
Hapa ndipo tunaposema mixed reactions kuhusu JoshuaJoshua ni Moto....