Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,258
- 10,014
Mtoe uweke wa kwakoHuyu refa anaua move za Azam kwa makusudi kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoe uweke wa kwakoHuyu refa anaua move za Azam kwa makusudi kabisaa
Ingia ukazifufueHuyu refa anaua move za Azam kwa makusudi kabisaa
balaa kwa tabora pungufuAna balaaa huyo
Kuna mtu kaumia?? Tuna daktari /kocha wa viungo mzuri kwa sasa...hakuna kukaa benchi wiki..Ni ama Azam wanatumia nguvu mno au kuna jini majeraha linawanyemelea wachezaji wa Simba
Punguza jazba mkuu, umebet niniUseng(e) anaoufanya umeuona??
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ww utapata muhaho na ugonjwa wa moyo juu...balaa kwa tabora pungufu
Ingia uchamshe wewe ukate mauno kama fisaliDerby gani hii? Imepoooa kama uji wa mgonjwa!
Nakazia 😅😅😜😜Unauliza au unakazia😄😄
Ni chura kiziwi kabisa...hajasikia hata kelele..Admin amegoma kuweka bao la pili hapo juu au admin ni chura aliechangamka?
mtaichangamsha zamu yenu..Fadlu mbona masabu mengi