utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Wew dada unaumwa?? Halafu acheni kuiga kauli yetu.. YANGA BINGWAShape ya timu imeyumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wew dada unaumwa?? Halafu acheni kuiga kauli yetu.. YANGA BINGWAShape ya timu imeyumba
Sasa simba ikiwa haina mpira inachezaji vizuri sijaelewaSimba ikiwa haina mpira inacheza vizuri sana...channells zote za Azam zimezibwa
Ww ushakandwa sana na mnyama...kama hajampata uharo na ugonjwa wa moyo kwa vipigo mfululizo vya yanga nije nipate mimi niliye wakanda wote mlio uwanjan leo 5 kwa 4
Ingia wewe. Hii sio level yangu 😀😀 hii ipo chini sanaIngia uchamshe wewe ukate mauno kama fisali
Kwani ww hukukandwa 6-0,5-0,4-1 na simba au chimpumu imepanda kichwani?kama hajampata uharo na ugonjwa wa moyo kwa vipigo mfululizo vya yanga nije nipate mimi niliye wakanda wote mlio uwanjan leo 5 kwa 4
Sasa kama iko chini unafuatilia nini chura mnashida sanaIngia wewe. Hii sio level yangu 😀😀 hii ipo chini sana
Wanajisahaulisha..😃😃vipigo vitakatifuKwani ww hukandwa 6-0,5-0,4-1 na simba au chimpumu imepanda kichwani?
Magoli kwanza pasi baadaeSimba hawawezi kupiga hata pasi 5 zikakamilika, ukiacha zile goli 2 za offside hamna kitu wanafanya... YANGA BINGWA
Kishtobe hiko...kina mdomo...kinaipenda Yanga yake..Hashim Ibweeeeeeee amenunaaaaa
Ngoja tumkumbushe alale vizuriWanajisahaulisha..😃😃vipigo vitakatifu
Sijui mdomo umetunaje. maana hata kabla hajanuna mdomo unakuwa umetuna usawa wa puaHashim Ibweeeeeeee amenunaaaaa
Chukua marudio ya picha ya video utaona, sio goli halali ni offside ya wazi na wachezaji wa Azam wamenyoosha mikono. Yanga wasikubali tena kuchezeshwa na Sasii ni kolo la wazi. Hafai kabisa.huu ushabiki utaua watu, yaani povu lote hilo mkuu? 😀😀😀