ndo maana wakaweka mud wa ziadaAzam wanapoteza muda
Hahaaaa ni shidaManula imemgonga tu hahahaha
Hii timu ilifuzu vipi makundi mbona weupe sana
kuna bandiko niliona eddo anasema hakuna namba 10 kama chama nilicheka sanaAtakae muona Chama atoe taarifa kituo chochote cha police amepotea
Droo utoe na nani wewe?Paka Dak hii ya 60 sioni dalili za Lunyasi kushinda mechi hii... Droo ipo hapa naiona
ikiwezekana na mgunda aingieAingie ....Last born Banda
impact kwa timu ipiHivi Bocco na Sakho Hii Mechi nani Angekuwa na Impact?