permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Sasa watamshtumu Aish Manula kuwa hasaidii kushambulia.Mechi iliyopita waliangusha gunia la lawama kwa Mugalu! Cha kushangaza leo Mugalu hajachezeshwa, lakini bado wanaruka ruka tu uwanjani.
Bila shaka watasingizia uwanja! Lakini kiukweli kwa simba hii, wasiposhika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi msimu huu, sijui!!
KIGOGO tokea ameamia simba kila mtu anajipigia SIMBA tu kivyakeaisee Simba wamekua kunguru.
Binafsi Sina imani na Simba hii ndio maana mechi ya leo sijaangalia kwenye Tv au kufuatilia kwenye redio na nina wasiwasi wakuangalia mechi Chache Sana msimu Huu za Simba.Ingawa ukiwa mkweli unaitwa utopolo lakini ukweli haujifichi Simba hii haivutii kuitazama.Hii Simba Sc ikitoboa msimu huu, utakuwa ni mwisho wa dunia.
Hivi kwanini watu tusikubali kwamba msimu huu hatuna team? Team imekuwa ya kipumbavu sana.
Niiteni utopolo,nitukaneni ila ukweli ndo huo.
Tufurahie mabasi.Haya ukweli ndio huo,msimu huu hatuna timu.
Tufanyaje sasa?
Sawa.....Tufurahie mabasi.
Kama wanajua Sakho ni mzuri sijui alisubiri nini kumwingiza dk ya 86.
Boko anawaza ufungaji bora, alitaka aanze kufungua akaunti!Hivi simba tuna matatizo gani, kwani ilipopatikana penalt erasto nyoni hakuwemo. Si tumekubaliana ndo mpigaji bora wa penalt zote za hatari?
Au naye anapangiwa wachezajiSijui pre season imetumika maana bado kocha ni kama anajaribisha wachezaji
Kabisa mkuu, tuwaache uto waendelee kukenua humu ila kesho watakiona
Wanaweza kushinda
Possiblity ni ndogoWanaweza kushinda
Pasi na cross zote ndefu zimeishia mikononi mwa kipa wa Biashara kuanzia kipindi Cha kwanza halafu wanarudi na plan ile ile ,Kuna wakati unaona mpira ukiwekwa chini na pasi wanatulia halafu wanarudi tena butua butua ,mipira mirefu kukimbizana mda wote hamna plan ya maana.Au naye anapangiwa wachezaji
Kahere alitakiwa kutoka dakika hata ya 65 aingie Sakho nae ajaribu bahati yake