Zimekuwa ngapi bro?Points zinakuwa 3 either way.
Hata mimi niliwaambia wanzangu kuwa anakosa.Na si mara ya kwanza bocco kukosea penati ,huwa anapaisha au anapiga haina nguvu ,aisee alipochukua mpira niliondoka maana nilijia atakosa tu halafu na ile presha ya kupata penat
Sio hata msimu uliopita tuliwafunga kwa taabu sana.Sasa hivi hata timu pinzani hazituogopi tena kwa kifupi hatuna madhara kihivyo kwa opponent wetu tumekuwa wa kawaida sana tumeshambuliwa na Biashara kama Average team muda wote unaweza kusema Biashara leo walikuwa wanacheza na Veterani Fc.
yani mhilu, sakho na Duncan walibadili kabisa gameKama wanajua Sakho ni mzuri sijui alisubiri nini kumwingiza dk ya 86.
Yule Duncan Nyoni ni mzuri,kocha aache wenge achague 11 sahihi
Kakolanya atachoma mahindi mpaka muda wake uishe.KIKOSI CHA SIMBA KINACHO AANZA LEO
28 MANULA
12 KAPOMBE
5 ISRAEL
26 KENNEDY
6 WAWA
29 INONGA
& BWALYA
18 NYONI
14 KAGERE
22 BOCCO (C)
24 DILUNGA
SUBS
KAKOLANYA: HUSSEIN. MZAMIRU.
SAKHO. BANDA. DUNCAN. MUGALU.
MHILU, JIMMYSON
1 tu kwani vipi?
Striker wote hawajawa clinical ila haiondoi udhaifu wa mugalu kukosa nafas za wazi waziNgoja muone huyo mnayempenda kama atafunga
Kaitaba tunazaidi ya misim 5 huwa tunashindaga tu.ndiyo, draw plus clean sheet ugenini. subirini kesho mtaona
Huyu inasemekana siyo raia wa tzSema kocha kibu denis hajamuelewa nn make hizi ndo mechi jamaa angekuwa wa msaada,ana nguvu anaweza tembea na mpira fresh.
Mugalu siyo mbovu kama mnavyomdis.......Striker wote hawajawa clinical ila haiondoi udhaifu wa mugalu kukosa nafas za wazi wazi
Kwahyo?.inahusiana vipi na kuipenda Simba?.ifungwe ishuke daraja nitaendelea kuipendaWe jipe matumaini tu, subiri Yanga atuache hata point 6 health uone kama utampata tena .
Timu ni nzuri tatizo lilikuwa ni uwanja tu.
Msimu uliopita tulipata goli moja la shida sana hapo Musoma na Biashara.
Hata leo tulikuwa na goli, Boko katoa Boko.
Ifikie mahali timu iwatambue wapiga penati mahili.
Kama Nyoni yupo na apige.
Boko ana kiherehere sana wakati sio mpigaji mzuri wa penati.
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] We endelea kuipenda tu hakuna alikekuzuia [emoji12][emoji12][emoji14][emoji12].Kwahyo?.inahusiana vipi na kuipenda Simba?.ifungwe ishuke daraja nitaendelea kuipenda
Ndo hivyooooo naona ww ni kama manara moyo moyo upo simb maslahi yapo Yanga haahha[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] We endelea kuipenda tu hakuna alikekuzuia [emoji12][emoji12][emoji14][emoji12].
Timu ni nzuri tatizo lilikuwa ni uwanja tu.
Msimu uliopita tulipata goli moja la shida sana hapo Musoma na Biashara.
Hata leo tulikuwa na goli, Boko katoa Boko.
Ifikie mahali timu iwatambue wapiga penati mahili.
Kama Nyoni yupo na apige.
Boko ana kiherehere sana wakati sio mpigaji mzuri wa penati.
Mtoto akililia wembe mpeKakolanya atachoma mahindi mpaka muda wake uishe.
Nimecheka hapo uliposema, unamwona Sakho huwa ni mpiga penalty mzuri, ulimuona wapi au ndo zile story za kipa kudaka mishale?😂Hata mimi niliwaambia wanzangu kuwa anakosa.
Anakimbiliaga sana penati.
Namwona Sakho kuwa mpigaji mzuri wa penati pia.
Ila anapokuwa Nyoni basi aachiwe hajawahi kukosa penati.
Boko katunyima point 2 muhimu sana.
MwillerKakolanya atachoma mahindi mpaka muda wake uishe.
Hatimaye Siku imefika, Siku Imewadia, Kwa Miamba Miwili Ya Soka Nchi Tanzania Ambayo Inawakilisha Nchi kwenye michuano Ya Kimataifa Kukutana kwa Mtanange wa Dakika 90+ Kwenye Kipute cha Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi Isiyo Na Mdhamini.
Bado Dakika 60 Game Kuanza huku, Mashabiki Wengi Wa Simba wakiwa Wanasubiri kwa hamu kuona kikosi cha Timu yao. Wengi wakitaka kujua Je Stiker Mugalu ataanzia Benchi Au Ataanza na Kikosi cha kwanza? Baada ya kukosa Nafasi nyingi Kwenye Mchezo uliopita na Mtani wa Jadi
Tuwe hapa kwa pamoja kwa Dakika 90 za Mchezo
Here we Go…
Naona pengo LA wachezaji wawili limeshindwa kuzibwa na watu kumiHatimaye Siku imefika, Siku Imewadia, Kwa Miamba Miwili Ya Soka Nchi Tanzania Ambayo Inawakilisha Nchi kwenye michuano Ya Kimataifa Kukutana kwa Mtanange wa Dakika 90+ Kwenye Kipute cha Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi Isiyo Na Mdhamini.
Bado Dakika 60 Game Kuanza huku, Mashabiki Wengi Wa Simba wakiwa Wanasubiri kwa hamu kuona kikosi cha Timu yao. Wengi wakitaka kujua Je Stiker Mugalu ataanzia Benchi Au Ataanza na Kikosi cha kwanza? Baada ya kukosa Nafasi nyingi Kwenye Mchezo uliopita na Mtani wa Jadi
Tuwe hapa kwa pamoja kwa Dakika 90 za Mchezo
Here we Go…