0 0Mpk sasa hivi ni aje?? Hatuko kideoni
biashara wameanza kuniangusha yani.Wanaweza wakapata goli wakipambana. Biashara wameshakubali
Vp Biashara nao wakipata goli? Watoto washa jiamini hawa.......Wanaweza wakapata goli wakipambana. Biashara wameshakubali
Utaambiwa timu inashambulia inasahau kuna kujilinda.Mashabiki wa Simba ni vigeu geu sana. Mkiwekewa Mugalu mnamkataa bora Kagere, mkiwekewa Kagere mnamkataa bora Mugalu. Mimi naona bora kocha atengeneze mfumo wa mastraika watatu. Wote Mugalu,bocco na Kagere wacheze pamoja.
[emoji28][emoji28]hivi hii ni simba au Lipuli??
Ni pua yakohivi hii ni simba au Lipuli??
Unaonajehivi hii ni simba au Lipuli??
simba imeisha aisee.Ni pua yako