Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka kuwa prove wrong mashabiki wa simba endapo kagere asipofanya jambo leo uwanjaniGomez bana,Presha ya mashabiki maandazi ndio imemfanya am uwekezaji Mugalu benchi.
Sven alikuwa kiboko,aliziba masikio na kufanya alichokiaminiGomez bana,Presha ya mashabiki maandazi ndio imemfanya am uwekezaji Mugalu benchi.
Usiwapangie mikia wenzioSijasema sitaki maoni, nimesema ASIYEMTAKA MUGALU ahame....
Au kwako kutokumtaka Mugalu ndio kutoa maoni ?
Ngoja muone huyo mnayempenda kama atafungaHuyu mugalu hastahili hata kuwa kwenye bench LA simba
Duh kweli Rage hakukosea kuwaita mbumbumbu,huo uchawi ndio ulifunga goal na kuwazuia nyie msifunge?kwa msaada wa uganga usijifanye umesahau[emoji57]
Gomez naamini maombi yake leo ni kagere asifanye vzr leo Coz his wish is to prove wrong mashabiki wa simba, makocha huwa wana wachezaji wao kichwaniMugalu pamoja na ukosaji wake wa magoli bado ni best striker
Kweli kuwa na subira,atafunga kwenye kipindi cha michezo usiku.Simba anashinda game ni swala la muda tu
Umefufuka leo,leteni zile nyuzi zenu za kuiponda Yanga.Gomez bana,Presha ya mashabiki maandazi ndio imemfanya am uwekezaji Mugalu benchi.
Ndio maana Mugalu kawaita WanafikiMashabiki wa Simba ni vigeu geu sana. Mkiwekewa Mugalu mnamkataa bora Kagere, mkiwekewa Kagere mnamkataa bora Mugalu. Mimi naona bora kocha atengeneze mfumo wa mastraika watatu. Wote Mugalu,bocco na Kagere wacheze pamoja.
Na wewe umefufuka baada ya misimu minneUmefufuka leo,leteni zile nyuzi zenu za kuiponda Yanga.
Eti unamkumbuka yule shabiki aliyetupatia jina letu la Utopolo? Kwani uongo kusema kwamba bila uganga uto hana chochote kwa mnyama?Duh kweli Rage hakukosea kuwaita mbumbumbu,huo uchawi ndio ulifunga goal na kuwazuia nyie msifunge?
Au Mugalu hayuko stable kisaikolojiaGomez naamini maombi yake leo ni kagere asifanye vzr leo Coz his wish is to prove wrong mashabiki wa simba, makocha huwa wana wachezaji wao kichwani
Huyo ni mbumbumbu Square kabisaDuh kweli Rage hakukosea kuwaita mbumbumbu,huo uchawi ndio ulifunga goal na kuwazuia nyie msifunge?
Sema ile back 3 kule nyuma ya simba ni nidhamu ya uoga, pale unatia kiungo mwingine hasa Sakho, wale biashara mbona wanalegea wenyeweAu Mugalu hayuko stable kisaikolojia
Kama binadamu matusi siku zote yanauma.
ndo Wanafiki FC walivyo.Mashabiki wa Simba ni vigeu geu sana. Mkiwekewa Mugalu mnamkataa bora Kagere, mkiwekewa Kagere mnamkataa bora Mugalu. Mimi naona bora kocha atengeneze mfumo wa mastraika watatu. Wote Mugalu,bocco na Kagere wacheze pamoja.
Kocha hana nia ya kucontrol midfield na kutengeneza chances kwa movements na through balls.Sema ile back 3 kule nyuma ya simba ni nidhamu ya uoga, pale unatia kiungo mwingine hasa Sakho, wale biashara mbona wanalegea wenyewe
Ni aibu na vile quality ya picha za azam media imeongezeka, hivi viwanja ndo inakuwa hakuna kitu kabisaDak 52
0:0
Huu sio uwanja ni shamba