Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Aahaaaaaa,Kama ile ya 6 , 0View attachment 2572202
Usiwapangie watu jinsi ya kutumia fedha zaoNawakumbusha utopolowizadi, Raja haina cha kupoteza, Pia Simba haina la kupoteza pia. Raja hawatokuwa sirizi sana, Kocha anaweza kupumzisha wachezaji mhimu kwa ajili ya kuepuka majeruhi.
NB: Game ni kwa ajili ya kukamilsha ratiba tu.
Naiscreenshot hii replySimba akifungwa Chini ya Goli Tatu naomba nipigwe ban ya siku mbili
KUmbe mechi Ina GG!?Raja 11-1simba
Usiwapangie watu matumizi ya Hela zaogame ya kawaida Sana sidhani Kama raja ataweka full mkoko
Mabingwa wa kihistoria hiyo historia 6 , 0 hamtaki kuisikia[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Aahaaaaaa,
Tuongee ya leo
Simba akifungwa Chini ya Goli Tatu naomba nipigwe ban ya siku mbili
Tumekusikia, kolo lazima apigwe dazeniRaja Casablanca wekeni heshima kwenu mpigeni Kolo goli nyingi sana
Wewe acha kupunguza magoli yetu, izo 6 mbona chache sanaRaja 6
Simba 0
Mbona hata ile Raja aliyokuja kwa Mkapa wala hakuweka full mkoko ila kilichotokea tunakijuagame ya kawaida Sana sidhani Kama raja ataweka full mkoko
Usijali mkuu hawa tunawapiga dazeniRaja msiniangushe
Marinda yenyewe hakuna watakazaje🤣🤣Hebu simba wakaze mkun.du leo angalau tufurahi ..
Uchambuzi utafata baada ya Raja kufunga goli la 8 langoni mwa thimbaaUmekuja kuanzisha uzi au kukenua magego?
Nimeandika"nawakumbusha" sijaandika namna ya "kutumia fedha au mipango ya fedha" za Watu mkuu.Usiwapangie watu jinsi ya kutumia fedha zao