FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

Saidoo anashida gani huyu!
Huyo jamaa amegeuka kuwa muua moves nyingi kwa Simba Sc sikuhizi, kwanza hawezi kutoa pasi mpaka abanwe kabisa lakini pia yeye anawaza kufunga tu hata kama nafasi haimpi ruhusa.

Kinachomharibu zaidi ni ile hali ya kutaka aimbwe na mashabiki, badala yake nyimbo zimeendelea kumfuata Chama huku yeye akibaku kuamini kuwa ni bora zaidi, matokeo yake ni kupanick mchezoni kila siku.

Hakuna aliyemroga.
 
Jamaa wako vizuri kwenye pasi mpenyezo. Unaona pasi haina muelekeo kumbe ina mtu wake inamfuata
 
hivi we mtani a.k.a said chura uliwaza nini kutumia hiyo signature?
au ndio kupenda ugomvi na mwananzengo aliyetamani kuvaa za mpasuo?
haahaaaahaaaa
Anatusema sana walimu Kwa mabaya tu,hata kama tun changamoto zetu sisi kama wataalamu Serikali,ila moyoni siye ni binadamu kama yeye,

Atuseme Kwa kutanguliza utu,hata siye tuna mazuri yetu

Wapo walimu waliotusua Kwa ualimu huu huu mbona awasifii!?
Tuna Marais wawili walimu mbona apongezi Hilo!?

Stress zake asirundikie walimu atafute sehemu sahihi ya kuzipeleka
 
Back
Top Bottom