FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

Vipers usishaangae kumfunga Yanga ila kumbuka ndio iliyomtoa Tp Mazembe kwenye klabu bingwa. Kilichowaponza ni kitendo cha kukubali kuanza na upya wakati tayari walishajenga team. Wameuza uza wachezaji wao muhimu na pia kocha aliyeijenga timu wakaachana nao. Unategemea miujiza itawabeba?

Tp mazembe mwenyewe hamna kitu. Timu kama imefilisika siku hizi watu wanajipigia tu,,, Hajafika group stage klabu bingwa toka mwaka juzi..
 
kumbukizi mara ya mwisho Vipers walipokuja bongo kucheza na Yanga matokeo yalikua hivi👇

images.jpeg
 
Back
Top Bottom