Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
waache kumroga Bobos aliyewakamata kwenye kiungo siku iyo waniroge mimi,haa uo ni uonevu sasa.Utarogwa
ila awawezi mganga wao si kadakwa Airport kule!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waache kumroga Bobos aliyewakamata kwenye kiungo siku iyo waniroge mimi,haa uo ni uonevu sasa.Utarogwa
ndugu yangu tulia kimya... yanga walimiminiwa zege la 6-0 (1998)Vipers kama Ihefu
Baaaasiii usimalizie kusemaa5+ Itakuwa nafuu... yanga walikunywa 6-0 (1998)
sasa unajiuliza hii timu mpaka half time ishakula thalatha imewezaje kuifunga timu inayojiita mabingwa wa Africa🙌
Hao waache ndo maana wapo shirikisho.5+ Itakuwa nafuu... yanga walikunywa 6-0 (1998)
Miyeyusho sana mkuu🤣🤣sasa unajiuliza hii timu mpaka half time ishakula thalatha imewezaje kuifunga timu inayojiita mabingwa wa Africa🙌
Juko ana sifa ya kukatika,half back 5 ndo mtu wa mwisho wakifeli mabeki wengine alafu namba tano ukakosekana eneo sahihi hapo unkwisha yakhe ni magoli tu yanazama.Juuko Murshid yupo huku..
kumbukizi mara ya mwisho Vipers walipokuja bongo kucheza na Yanga matokeo yalikua hivi👇
View attachment 2513092
Hahaha wamejizima dataYanga mwaka huu hawapokei wageni?