OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yanga 0-2 VipersWe juzi tu umepigwa magoli kumi mechi mbili umesahau?na ukapakatwa na Aziz key kwa mkapa usijisahaulishe
Raja 5-0 Vipers
Logically
Raja 10-0 Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga 0-2 VipersWe juzi tu umepigwa magoli kumi mechi mbili umesahau?na ukapakatwa na Aziz key kwa mkapa usijisahaulishe
Mbumbumbu always ni mbumbumbu,kwa hesabu hiz we ni zaid ya mbumbumbu.Yanga 0-2 Vipers
Raja 5-0 Vipers
Logically
Raja 10-0 Yanga
YANGA 2-1 SIMBAYanga 0-2 Vipers
Raja 5-0 Vipers
Logically
Raja 10-0 Yanga
Al ahaly alitoka kumpigia mpira mwingi fc bayern club bingwa dunia na alikuwa hajapoteza mechi kwa mda mrefuAisee Simba tujipange kwelikweli
Sima,,duh!.YANGA 2-1 SIMBA
LOGICALLY
RAJA 15-0 SIMA
Tusijiamini sanaAl ahaly alitoka kumpigia mpira mwingi fc bayern club bingwa dunia na alikuwa hajapoteza mechi kwa mda mrefu
Alikuja vile vile akiwa wamoto lakini akapasuka.
Hao hata washinde 10 pale lupaso kifo Ni haki yao watake wasitake
DaaahhHii Vipers ilitakiwa kuwa Shirikisho na kina Yanga
Kwa mkapa sio sehemu salamaTusijiamini sana
Wamekuja kutia aibu huku kwa wakubwaHii Vipers ilitakiwa kuwa Shirikisho na kina Yanga
Kwa hiyo Vipers hawakuwafunga kwenye siku zenu?Mbumbumbu always ni mbumbumbu,kwa hesabu hiz we ni zaid ya mbumbumbu.
Hata Simba nao walipigwa hvyo hvyoWamekuja kutia aibu huku kwa wakubwa
watabadilika hawa next game.Hii Vipers ilitakiwa kuwa Shirikisho na kina Yanga