FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

Screenshot_20230211-052805.png

Nawakumbusha tu ...
Nyie mnaowasema vipers ni vibonde,vibonde safari hii mtakuwa wengi
 
Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.

Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..

========
Updates

Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Simba ajiandae
 
Simba akienda Morocco anapasuliwa 7 na upuuzi wenyewe unaishia hapo.
 
Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.

Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..

========
Updates

Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Inaitwa Hamsa ,tano bila
 
Simba hamsa anakuja pigiwa apa apa mkapa
 
Back
Top Bottom