Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Kuna watu wanamcheka vipers wanasahau wenyewe baadae wanapigika hamsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwishowe Mnyama akatinga robo fainali....Unazikumbuka lkn zile kumi za Simba ally na as vita
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
yanga ni mabingwa wa ki- historia.. ko kuwakumbusha historia ni jambo jema sanaMbona mnakuja na kumbukumbuza zamani sana..?? Hamna LATEST..???
Tp mazembe mwenyewe hamna kitu. Timu kama imefilisika siku hizi watu wanajipigia tu,,, Hajafika group stage klabu bingwa toka mwaka juzi..
Simba ajiandaeHuyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.
Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..
========
Updates
Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Sio kwasababu kapigwa 5 ugenini ndio mumchukulie poa!!!Simba anatakiwa achukue point sita kwa Vipers
Hao hao, ngoja uonrPoint 6 kwa wachezaji wako kina Sawadogo na Kibu
Hayo uliyo shindwa wewe kufika semi final ukatolewa na kuweka history ya kushikwa uchawi nchi za watuSemi final ya mashindano gani?
Inaitwa Hamsa ,tano bilaHuyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.
Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..
========
Updates
Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Hawakuscore walizuia kufungwaHuenda walibahatisha kumfunga Tp Mazembe.
Raja 10Yanga 0-2 Vipers
Raja 5-0 Vipers
Logically
Raja 10-0 Yanga
Plus 4-1 ya TP Mazembe (kwenye robo)Unazikumbuka lkn zile kumi za Simba ally na as vita
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
😂😂😂Kuna watu wanamcheka vipers wanasahau wenyewe baadae wanapigika hamsa