FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

Checking in horoya View attachment 2513142View attachment 2513143
Screenshot_20230210-235616.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.

Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..

========
Updates

Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Vipers awe kibonde wa kundi kwani hao raja casablanca unafikiri ni wepesi? Makolo mwenyewe anaweza kula zaidi ya izo 5
 
Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.

Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..

========
Updates

Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Kwahiyo unasema "ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia ....."
 
Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.

Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..

========
Updates

Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Achana na habari za Vipers sisi wenyewe tunatakiwa kushinda au sare huko Guinea otherwise mambo yatakuwa magumu kwetu sababu tufungwa hiyo inabidi tumfunge Raja mechi ijayo
 
Vipers ndo sehemu ya Simba kuchukua point sita.
Simba anampasua Horoya kwao mapema kabisa asubuhi.
Simba na Raja wanapusua kwenda robo.

Zamaleck kafa home kwa goli moja na wahuni kutoka Algeria.
Simba ipi ya kumpasua horoya? Horoya akimuonea simba huruma ni mkono kws sifuri. Na Raja akija bongo, mwendo ndiyo huo huo anampiga tena mkono.
Jitayarisheni kumtimua huyo mcheza samba wenu anayejiita kocha
 
Back
Top Bottom