dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Checking in horoya View attachment 2513142View attachment 2513143
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahah au de agosto.Kwa jinsi nilivyousoma mchezo huku Champions Yanga ni kama Zalan tu
Kwa jinsi nilivyousoma mchezo huku Champions Yanga ni kama Zalan tu
sio washamba.. bingwa wa historia yanga alilambwa 6-0 hapo mwaka 1998
Mbona maana kasema bingwa wa historiaMbona mnakuja na kumbukumbuza zamani sana..?? Hamna LATEST..???
Vipers awe kibonde wa kundi kwani hao raja casablanca unafikiri ni wepesi? Makolo mwenyewe anaweza kula zaidi ya izo 5Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.
Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..
========
Updates
Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Vipers sio wabovu kusema simba atajipigia tu ila wamekutana na time ambayo sio level yao. Subirini mkienda moroco ndo mtaona shughuliSimba anatakiwa achukue point sita kwa Vipers
Uyo al hilal hamjafunga simba?Vipers na AL hilal ndio watakuwa vibonde wa ma group yao
Cha kushangaza vipers na Al hilal eti waliwafunga yanga.
Ajabu zaidi Yanga hua anakunyoosha kama demu wakeVipers na AL hilal ndio watakuwa vibonde wa ma group yao
Cha kushangaza vipers na Al hilal eti waliwafunga yanga.
Huyo Mazembe uanesema kaisha last season kafika semi final ambayo wewe unaiotaTp mazembe mwenyewe hamna kitu. Timu kama imefilisika siku hizi watu wanajipigia tu,,, Hajafika group stage klabu bingwa toka mwaka juzi..
Huyo Mazembe uanesema kaisha last season kafika semi final ambayo wewe unaiota
Kwahiyo unasema "ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia ....."Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.
Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..
========
Updates
Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Achana na habari za Vipers sisi wenyewe tunatakiwa kushinda au sare huko Guinea otherwise mambo yatakuwa magumu kwetu sababu tufungwa hiyo inabidi tumfunge Raja mechi ijayoHuyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.
Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..
========
Updates
Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Point 6 kwa wachezaji wako kina Sawadogo na KibuKabisa mkuu.. 6 kwa vipers hao horoya na raja wakija hapa kwa mkapa wanaacha 6 tayari tukiwa na 12 zinatosha kupita
Simba ipi ya kumpasua horoya? Horoya akimuonea simba huruma ni mkono kws sifuri. Na Raja akija bongo, mwendo ndiyo huo huo anampiga tena mkono.Vipers ndo sehemu ya Simba kuchukua point sita.
Simba anampasua Horoya kwao mapema kabisa asubuhi.
Simba na Raja wanapusua kwenda robo.
Zamaleck kafa home kwa goli moja na wahuni kutoka Algeria.