Ameen AmeeenMUngu atusaidie mechi bado mbichi
Kusengekuwa na kucheza. Angepita tu WydadKwahiyo mmekaa hapo mnajifariji Simba atamtoa mwarabu!!! Endeleeni kujifariji.
WAnacheza mpira dakika 70 hzo nyingne wanajua waoJamaa wanacheza kama Waarabu wowote wale game za ugenini...
Wanasubiria makosa wakuadhibu...
Mkuu mm Sina timu ila naupenda mchezo wa mpira wa miguu amini hicho nilichokiandika hata mkimfunga Waydad 5 ila kwao watawapiga zaidi ya hizo, record ya Simba mechi za ugenini ni mbovu sanaBaba yenu Manara alishawaambia kuwa mpunguze Polimilai, kwanini mnakuwa wagumu kuelewa?
Kama nakuona vile unavyokenua mwanya wako madam 😀Hakuna namna [emoji23]
game imeisha hii hawa si kiwango kizuri cha kujipima kwetu walipaswa kucheza na polisiMUngu atusaidie mechi bado mbichi
MakubwaKama nakuona vile unavyokenua mwanya wako madam [emoji3]
Ha haaa..nyoni kabisa?Ni bora angecheza tu Nyoni,Kanoute yupo ovyo sana.
Hakuna kituAaah wenzangu mnaona huko?