kolongotitu
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 214
- 147
ni kweli malumo ni underdog pamoja na kumfunga pyramidTimu Imemtoa Pyramids Ya Misri ambayo ipo Nafasi Ya 3 kwenye Ligi lakini Kuna Mchambuzi alisema Ni UnderDog
Hivi neno Underdog lina Maana Gani?
๐ซฃ๐ซฃ๐ซฃ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]So far so good the game is under our control.
Remote controlSo far so good the game is under our control.
Ulidhani Marumo ni mbeya city eeeh PSL na NBC vitu viwili tofauti..
Timu Imemtoa Pyramids Ya Misri ambayo ipo Nafasi Ya 3 kwenye Ligi lakini Kuna Mchambuzi alisema Ni UnderDog
Hivi neno Underdog lina Maana Gani?
Nasikia mashabiki wa makolo na nyie mme pata kombe lenu la zomea cupHii ituambie kuwa ligi yetu ni ya kawaida, ukiachana na siasa za kufarijiana. Hii team inapambania uhakika wa kubaki ligi kuu huko kwao ila ipo hapa kumsumbua anayejiita bingwa na team bora(wao wanavyojiita[emoji23]).
Wakati team ya SA iliyoko mkiani kwenye ligi ya kwao, hapa kwetu hata team inayoshika nafasi ya tatu(mfano Azam mara kadhaa) haiwezi kufanya yanayofanywa na Marumo, HAIWEZI HAIWEZI.
Team inayopambania kushuka daraja ka hapa kwetu inaweza kusumbua kwenye mashindano gani?
Nasubiria kuziona hizo saba tulizoahidiwa na mashabiki wa jangwani.
Kwahiyo Buyenze, hapa unajaribu kuifananisha Azam na team inayopambania kushuka daraja?Mbona mnapenda kutia majaribuni wenzenu? Comment kama hii unataka ujibiwe nini sasa?
Makolo hii hii iliyohenyeshwa na Azam juzi au Makolo nyingine?
Tusitiane majaribuni pulizi
kabisa mkuu, amepakiwa mkongo kutoka lubumbashi.Hizi taarifa za kwamba utopolo anapelekewa moto hapo lupaso zina ukweli wowote ?
Umesahau na wewe ulikula mbili,mimba aliyoweka Kibu Denis ndiyo kwanza ina mweziMbona mnapenda kutia majaribuni wenzenu? Comment kama hii unataka ujibiwe nini sasa?
Makolo hii hii iliyohenyeshwa na Azam juzi au Makolo nyingine?
Tusitiane majaribuni pulizi
[emoji23][emoji23][emoji23]๐๐ข๐ข ๐๐๐ฆ๐ ๐ข๐ง๐๐๐ง๐๐ ๐ค๐ฎ๐๐ฆ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฉ๐ข๐ง๐๐ข ๐๐ก๐ ๐ฉ๐ข๐ฅ๐ข...
๐๐๐ง๐ ๐ ๐ฐ๐๐ญ๐๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐[emoji736]
Hizi taarifa za kwamba utopolo anapelekewa moto hapo lupaso zina ukweli wowote ?
Unadhani hawa ni wale waarabu wa mchongo mliowaotea kwaoHawa tutaenda kuwatolea kwao, hapa kuna wachawi wanapuliza sana
Yaani wana roho mbayaaa
Kweli kabisa.Tuendelee kuwaombea wananchi๐!
Hizi taarifa za kwamba utopolo anapelekewa moto hapo lupaso zina ukweli wowote ?