Acha mfungwe ngedele nyinyiProfesa Nabi asipofanya mabadiliko ya haraka, tunafungwa. Aziz Kii, Moloko, na Tuisila Kisinda wanatakiwa kupumzishwa haraka iwezekananvyo.
BAHLABANE BA NTWASogea haraka upate burudani la bondeni kwa madiba
Mbele mwiko nyuma mwiko [emoji3][emoji3][emoji3]Usihofu mkuu, nyuma mwiko upo
Azizi k has been a waste of space leoProfesa Nabi asipofanya mabadiliko ya haraka, tunafungwa. Aziz Kii, Moloko, na Tuisila Kisinda wanatakiwa kupumzishwa haraka iwezekananvyo.
Acha ufala wewe.
Haya ni mashindano dhaifu yanayohusisha timu dhaifuNakukumbusha tu hapa Kaizer alikula 3 za haraka haraka toka kwa Mnyama
Ankoli 😂 uwewaza nnWasauzi sio watu wazuri kabisa nimeamza kuamini kuwa bongo hakuna Soccer bali ni KABUMBU
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Profesa Nabi asipofanya mabadiliko ya haraka, tunafungwa. Aziz Kii, Moloko, na Tuisila Kisinda wanatakiwa kupumzishwa haraka iwezekanavyo.
Wachezaji wazuri wapo nje! Shida iko wapi!!!
Hawa hata ingekuwa Simba wangewasumbua wazuri sana.Haya ni mashindano dhaifu yanayohusisha timu dhaifu
Labda kikombe cha dhambiWalisema wanaleta kikombe Tz sikuelewa ni kikombe kipi?