Mmshukuruni Mungu mmekutana na vimeo[emoji3581]Pre season Avic town.
[emoji3581]Friendly matches Vs Friends Rangers, Mbuni.
Semi final CCC
Semi final ASFC
League Leaders
Hongereni sana Uto.
Msimbazi kazi yao kudalalia wachezaji akina Sawadogo
Wacha wivuHii ni Yang'aaa au ni majambazi Fc yanafanya ujambazi mpk uwanjani
Uongo bhaanaHawawezi Kutoka, wana Wiki 1 ya Kujiandaa. Kumbuka Pyramids Alishinda Kwao kwa Madiba Akachezea 2
Hawa Yanga Watapigwa hata 4
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjipange kufa fainali kwa USM Alger
Pumbavu kabisa hawa Marumo. Ruined my day.
Nyie namungo wamewatoa jasho π€£π€£π€£π€£Pale wanapocheza na washuka daraja...ngoja tuone mpk mwisho itakuwaje
Acha uchawi.Mafala hayo yashatoka. Yamezingua kise***
Tunakumbushana tu kwa leo peke yake tuna Milioni 20 za Mama.
Kwako mwalimu kashasha;
Mabadiriko ya field marshal, dakta wa mupira Nabi yanaongesha kweli huyu ni profesa na hapa ndipo tunaona utofauti wa prof, nabi na makocha wengine [emoji1]
Asante Mungu, tulianza nawewe na tumemaliza nawewe... [emoji120][emoji120][emoji120]
Hapa hatujawafunga wacheza kwaito tu, moja lao moja la Madunduka FC.
Yanga Daima mbele, nyuma mwiko...
[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Watruuuuuuu weeeuuuwweeeeehhh [emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169]
Huko kwao tunaenda wagonga kimoko cha asubuhi na mapema hawa
WANANCHI WENZANGU MNAONAJE WAZO LA BABA SWALEHE HAPO CHINI!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii hela ya mama tumepata tuwakopeshe simba
Walipe wachezaji [emoji23][emoji8]
Shukran Mtani. ππUtopolo wapo vizuri sana....mwanzo mzuri sana huu
ifikie wakati mkae kimya kwani Huwa hamuoni aibuNiwakumbushe tu utopolo, first half kule Sauzi mtakula tatu, second half mtakula mbili..
Jamaa wanajua naamini hata nanyi mmeona hilo, huo utani waliouleta hapa kule kwao utaenda kugeuka kilio kwenu, Jumatano ijayo sio mbali tukutane hapa.
Yuko sahihi. Wapewage tu. π€£π€£π€£WANANCHI WENZANGU MNAONAJE WAZO LA BABA SWALEHE HAPO CHINI!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MIMI NAONA TULIIFANYIE KAZI NA IKIZINGATIWA HAWA NI NDUGU ZETU[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu moto hadi kuchukua kombe.Asante Yanga kwa kuendelea kuiheshimisha Tanzania na Afrika Mashariki na Kati kwa ujumla
Namungo anacheza hilo kombe lenu kila mwaka unamuona mbovu?Nyie namungo wamewatoa jasho π€£π€£π€£π€£
Huu ujumbe umewalenga wazulu sio waswahili.Bahlabane ba Ntwa
Uzofika nje e-FNB soweto uzosiqedela umdlalo, kodwa wenze umzamo omncane...