Ona dunduka hili limedata,Hawawezi Kutoka, wana Wiki 1 ya Kujiandaa. Kumbuka Pyramids Alishinda Kwao kwa Madiba Akachezea 2
Hawa Yanga Watapigwa hata 4
Wazo lake lisipuuzweee!ππππ!WANANCHI WENZANGU MNAONAJE WAZO LA BABA SWALEHE HAPO CHINI!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
MIMI NAONA TULIIFANYIE KAZI NA IKIZINGATIWA HAWA NI NDUGU ZETU[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweliKatika wapinzani wote waliokutana na Yanga, Marumo wameonesha upinzani mkubwa kuliko timu yeyote.
Ulidhani wamesawazisha?Mbona kuna kelele huko? Kuna niniView attachment 2616875
Lo lote alitoe wapi? πππmtzedi una lolote? π€ͺ
π π πLo lote alitoe wapi? πππ
Kwani Masaki uliko huwa kunachangamka hata siku moja? Njoo huku Mbagala uone mitaa ilivyojaa raha na matarumbeta π€ΈπΏπ€ΈπΏAntonnia sisy leo umekuja hatimaee lol...leo hatunywi maji..ila mbona mtaani pamepoaaa..
Mtani Kalpana hata kwa hatua hii tupongeze tu, hakuna namna Yanga haikamatiki, haishikiki...Wale wa mafichoni leo wametokezaaaa
Wapi mwana yanga kindakindaki Bantu Lady nitakupongeza tuu ikiwa mtabeba ubingwa..maaana hata sisi kwa level hii tulishaipitia πππ
Turingie nini sasa wakati tunapendwa Mpaka na Mungu? Halooo!Wanayangaaaaaa hata haturingiiiiii!!!
π€£π€£π€£π€£π€£πππ!!Antonnia sisy leo umekuja hatimaee lol...leo hatunywi maji..ila mbona mtaani pamepoaaa..