Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ila basi sawa na sisi tulifika wkt huo yakiwa ktk ukubwa wake..Halikubadilishwa jina mama,ni kombe kipya baada ya kufutwa CAF cup ambayo Simba wakifika final na CAF winner's cup,Kisha likaletwa confederation cup ndiyo Hilo,ni UEFA walifuta UEFA cup wakaleta Europa na conference,ni makombe mapya
Hii timu nomaIla basi sawa na sisi tulifika wkt huo yakiwa ktk ukubwa wake..
Sasa sisi tumeshiriki mara ngapi na nyie ndo mmefika hatua hii baada miaka mingapi kuishia group stage?? Au ndo mmeshajisahaulisha tena na kutuona hatuna thamani kisa mmefika nusu fainali?Sio kubadilishwa jina haya mashindano hayakuwepo kabla ya 2003.
Mashindano haya ni mapya na yametokana na kuunganishwa kwa mashindano mawili ambayo ni kombe la CAF na kombe la washindi Africa sasa mrembo wewe ni lini ulifika hatua hii na Simba yako kwenye mashindano haya ya shirikisho tuanzie hapa.?
Naona umevaa jezi kabisa mwanainchiHii timu noma
Yah sasa mnaachaje kuwafunga hao vibondeNa tutawafunga vilevileeeeπͺπͺππππππ€! In Morrison voice ππ!
Baghoshaa sio bhangosha...Hii yanga!!! Hiii hii hiii bhangoshaaa
Ni tapeliKwanini Tena ?
Tunaomba mashabiki wa simba kwa kuwa hamna kazi yoyote kwa sasa, walau mkachangie maoni ya katiba mpyaWazuri kama Simba?
Mkaenda kula 4 safi kwa madiba πNakukumbusha tu hapa Kaizer alikula 3 za haraka haraka toka kwa Mnyama
Simba level yao ni robo fainaliHawa hata ingekuwa Simba wangewasumbua wazuri sana.
Aliwatapeli kumbeNi tapeli
SidanganyikiOKW BOBAN SUNZU mwenye Avatar ya Mo umepotea bana...
Kambi ya Fisi Bill Mtoto halali na hela Scars Greatest Of All Time Kalpana Shunie Makiwendo Wana simba wooteee JF mje tushangilie ushindi wa Taifa π°π°π°π°πππππππππππππ
Hata ukipewa helaSidanganyiki
Labda mrembo mmoja wa jangwaniHata ukipewa hela
Una hela sasaLabda mrembo mmoja wa jangwani
ππ²ππ₯ππ€π π§π²ππ§π ππ£π’π©π’π π’π π§π²πππ«π’ππ€Baleke angejipigia hat trick
ππ’π¬ππUpdate ya utabiri: Yanga 0-1 Marumo
Kisha bondeni itakua msiba kamili.