Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si tulikubaliana mechi tunaimaliza hapa hapa nyumbani?Hawa tutaenda kuwatolea kwao, hapa kuna wachawi wanapuliza sana
Yaani wana roho mbayaaa
Ngapi?Yanga watapata goli kabla ya halftime, statistically speaking.
Mnataka vya bure mtaolewa mbwa nyie. Shindeni kwa haki tuone. Madawa fc
Sahauni kumtoa Marumo kule South.Hawa tutaenda kuwatolea kwao, hapa kuna wachawi wanapuliza sana
Yaani wana roho mbayaaa
Utateseka sana mwaka huuKwanini hamtaki kuamini kwenye ukweli?
Uwezo wa Yanga tunaukubali lakini je timu pinzani zilikuwa na ubora gani?
Mlipopangwa tu na Rivers mashabiki mlianza kushangilia, unafikiri hilo lingewezekana kama mngepangwa na timu ngumu?
Angalia Simba ilipopangwa na Mamelody kila mtu alikuwa anaitabiria mwisho wake tena kwa magoli mengi, unafikiri kwasababu gani?
Hivi kweli Tp Mazembe unaiona ni timu kubwa ila imezidiwa na Yanga au ni timu iliyopotea kwasababu ya kukosa wachezaji wenye Quality?
Hata nikikuuliza leo, ni mechi gani kwako ambayo ilikuwa ngumu kati ya Rivers United na Tp Mazembe utasema ipi?
Utadhani mchezaji wa Pamba ya Mwanza!?Kisinda hovyo kabisa
Usisahau kusema kuwa imemtoa timu inayoshika nafasi ya tatu MisriHii ituambie kuwa ligi yetu ni ya kawaida, ukiachana na siasa za kufarijiana. Hii team inapambania uhakika wa kubaki ligi kuu huko kwao ila ipo hapa kumsumbua anayejiita bingwa na team bora(wao wanavyojiita[emoji23]).
Wakati team ya SA iliyoko mkiani kwenye ligi ya kwao, hapa kwetu hata team inayoshika nafasi ya tatu(mfano Azam mara kadhaa) haiwezi kufanya yanayofanywa na Marumo, HAIWEZI HAIWEZI.
Team inayopambania kushuka daraja ka hapa kwetu inaweza kusumbua kwenye mashindano gani?
Nasubiria kuziona hizo saba tulizoahidiwa na mashabiki wa jangwani.
Kwanini wewe haumoHaziwezi kupita timu zote, fainali haiwezi chezwa na timu 8
Ni GARASAIla Mayele
Morrison yupi? Huyu aliyenenepa Kawa na tackle kama poshyqueen.Kuna umuhimu wa kuingia Morrison