FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

Kwanini hamtaki kuamini kwenye ukweli?

Uwezo wa Yanga tunaukubali lakini je timu pinzani zilikuwa na ubora gani?

Mlipopangwa tu na Rivers mashabiki mlianza kushangilia, unafikiri hilo lingewezekana kama mngepangwa na timu ngumu?

Angalia Simba ilipopangwa na Mamelody kila mtu alikuwa anaitabiria mwisho wake tena kwa magoli mengi, unafikiri kwasababu gani?

Hivi kweli Tp Mazembe unaiona ni timu kubwa ila imezidiwa na Yanga au ni timu iliyopotea kwasababu ya kukosa wachezaji wenye Quality?

Hata nikikuuliza leo, ni mechi gani kwako ambayo ilikuwa ngumu kati ya Rivers United na Tp Mazembe utasema ipi?
Utateseka sana mwaka huu
 
Hii ituambie kuwa ligi yetu ni ya kawaida, ukiachana na siasa za kufarijiana. Hii team inapambania uhakika wa kubaki ligi kuu huko kwao ila ipo hapa kumsumbua anayejiita bingwa na team bora(wao wanavyojiita[emoji23]).

Wakati team ya SA iliyoko mkiani kwenye ligi ya kwao, hapa kwetu hata team inayoshika nafasi ya tatu(mfano Azam mara kadhaa) haiwezi kufanya yanayofanywa na Marumo, HAIWEZI HAIWEZI.

Team inayopambania kushuka daraja ka hapa kwetu inaweza kusumbua kwenye mashindano gani?

Nasubiria kuziona hizo saba tulizoahidiwa na mashabiki wa jangwani.
Usisahau kusema kuwa imemtoa timu inayoshika nafasi ya tatu Misri
Hivyo linganisha na ligi ya South Africa pia
 
Back
Top Bottom