Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruvu Shooting inaweza kufanya haya iliyoyafanya Marumo?Kwani ligi ya SA na ya EGYPT ipi ligi bora?
Haohao Marumo ndo wamemtoa Pyramid unasemaje hapo!? Kwenye michuano ya kimataifa inapofika stage ya mtoano huwa mbinu zinabadilika so mwenye mbinu bora zaidi ya mwenzie ndo hupata matokeo na wala si kipimo sahihi cha ubora wa ligi watokazo.
Hujiulizi imefikaje nusu!! We mara ya mwisho kufika nusu unakumbuka au mpaka uvute gazeti?Sasa Azam Fc utaifananisha team ya mkiani?
Underdog ikilinganishwa na team gani?ni kweli malumo ni underdog pamoja na kumfunga pyramid
Kwa nini ni tatizo?suala lakutafuta nafasi hakuna tatixo ila umaliziaji sasa
Moloko badala ya kupuliza ye amepuliza izimeHahaAhahahahahaha Moloko kaokoa
nakubaliana na weweOpponents karibia wote ambao yanga wamekutana nao ni vibonde,siyo kwamba wapo ndani ya uwezo wao.
BAHLABANE BA NTWARuvu Shooting inaweza kufanya haya iliyoyafanya Marumo?
Orlando na Kizer zote ziliitoa Simha Sc licha ya kuwa nafasi za hovyo huko kwenye ligi zao, Marumo hawa hapa wanaisumbua Yanga Sc(wakiwa wamejaza wazawa tu kwenye kikosi chao) ambaye kule kwao ni underdogs [emoji23]
Ligi ya SA iko mbali sana kulinganishwa na ya kwetu, epukeni siasa.
Usimpangie kazi profesor NabiForward ya yanga ni butuu... Ifumuliwe Yooteee...
Sasa mlitaka tuwape support? Nyie pambaneni mshinde ili walau mpate nafasi ya kuendelea kupanua midomo yenu juu ya Yanga[emoji23].Nasikia mashabiki wa makolo na nyie mme pata kombe lenu la zomea cup