Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametunyima penalty hawa jamaa
Hahahaa! Ila kiukweli huna raha hapo ulipo.Inanishanga kuona Yanga 1 lakini mashabiki wake wanatia huruma.
Linaingia soon,Yanga inabidi wapate bao 2 ili kujiweka katika nafasi nzuri
View attachment 2616481
BAHLABANE BA NTWA
SHABIKI WA MARUMO GALLANTS TOKA SIJAZALIWA
TIMU PENDWA TANZANIA MPKA SOUTH AFRICA
KUNA MCHEZAJI WA MARUMO KACHEZA ASTON VILLA ANA MECHI 7 MAGOLI 38
Badala uombee muongeze we unaomba mpira uishe, unadhani SA mtatoboadakika ya 87 mpira si uishe tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanga ni bora kuliko wao...Hivi vijamaa vinacheza mpira kwa confidence ya ajabu sana
Refaaaa maliza mpira humu kibanda umiza joto limezididakika ya 87 mpira si uishe tu😂😂😂😂