ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mateso umeyataka mwenyeweDaah bila line 2 ilitakiwa tumalize kipindi cha kwanza tukiwa mbele bao 1
Sema sio swala ngoja tutafute ya halali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mateso umeyataka mwenyeweDaah bila line 2 ilitakiwa tumalize kipindi cha kwanza tukiwa mbele bao 1
Sema sio swala ngoja tutafute ya halali
Nimechukia basi tu. Najua mwenyewe zaidi siri yangu ☹️Pole sana Mtani.
Yanga si watu wazuri. 🤣🤣🤣 Sababu sijawahi kuona ukifoka namna hii. 🤣🤣
Umekufa kiumeKuhama sihami besty hata nyumba inibomokee nizikwe humo ❤️ ❤️ 🤍 🤍 🤍
[emoji23][emoji23][emoji23]Morrison yupi? Huyu aliyenenepa Kawa na tackle kama poshyqueen.
Hahaaha umeipima mizani gani mkuu..We mwanamke una roho ngumu sana![emoji56][emoji56]
Wanaishia hatua gani?Namungo anacheza hilo kombe lenu kila mwaka unamuona mbovu?
Alie jirani yako hapo awe macho muda wowote tunaweza kuandika tanzia..Bado najiuliza haya mafala mazulu yaliwatoaje Pyramid yamenikera majinga mataahira 😡🤬
Ndo vile tuu kama nyie mlivyokua mnaishia mwanzo..ila na wa kuna siku watafikia nusu ..Wanaishia hatua gani?
Ni bonge la kimbenju huyo mkuu achana naye!ifikie wakati mkae kimya kwani Huwa hamuoni aibu
Chai iko wapiAmkeni amkeni. 🤣🤣🤣
Acha tumbenjukeeNi bonge la kimbenju huyo mkuu achana naye!
View attachment 2616940
Hujui tu maumivu unayowasababishia ukiwa-tag namna hii. Kuwa na huruma hata kidogo Mwananchi mwema!Swahiba Mgagaa na Upwa hii ndio Timu yetu ya Wananchi. 😅😅
Hahahaaa. Mzee mwezangu nikusaidie kuwahesabu eti. 🤣🤣🤣🤣Ni bonge la kimbenju huyo mkuu achana naye!
View attachment 2616940
Nakuaminia 😁😁😁Acha tumbenjukee
Hahahaaa! Wavumilie tu sababu hamna namna. 😅😅😅Hujui tu maumivu unayowasababishia ukiwa-tag namna hii. Kuwa na huruma hata kidogo Mwananchi mwema!
Hii ndio sababu hatupendi nyinyi mfanye vizuri kwasababu tunajua mafanikio yenu yanakuja kuleta kero kwetu kama hiziUmemsikia mumeo ?