mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Mchezo mwingine wa kundi D michuano ya shirikisho barani Afrika unapigwa mida ya saa 5 usiku Kwa muda wa Afrika Mashariki.
Mchezo huu unasubiliwa kwa hamu hasa na wapenzi wa soka hapa nchini Kwa utatoa picha ya nani ataongoza kundi hili baina ya vinara waiopo Sasa ambao ni Yanga au Monastir..
Ili Monastir wawe vinara wa kundi basi inawabidi washinde kuanzia ushindi wa goli 3-0, je wataweza?
Stay tuned.
Mchezo huu unasubiliwa kwa hamu hasa na wapenzi wa soka hapa nchini Kwa utatoa picha ya nani ataongoza kundi hili baina ya vinara waiopo Sasa ambao ni Yanga au Monastir..
Ili Monastir wawe vinara wa kundi basi inawabidi washinde kuanzia ushindi wa goli 3-0, je wataweza?
Stay tuned.