FT: CAF Super Cup Final | Al Ahly 0 - 1 USM Algier

FT: CAF Super Cup Final | Al Ahly 0 - 1 USM Algier

'Nafasi ya tatu wanang'ang'ania' kwani hao Uto ndio walioandaa hizo rank?
USMA kusumbuana na Al Ahly ni credit kwa Yanga kwasababu inaonesha kweli fainali alicheza na timu bora na hata kumfunga USMA nyumbani kwake ni kipimo bora kwa Yanga kwamba kamfunga timu iliyobora na sasa ndiye kidume cha mashindano yote ya CAF huyo.

Tuje sasa kwenye ishu ya rank maana imewatoa watu mapovu leo lakini kipindi Simba anawekwa kwenye ubora kumzidi Sevilla hamkuwa mnahoji.

Ipo hivi,. IFFHS inajihususha na namba pekee na ndio maana wanaitwa international federation of football history and statistics, wao wana deal na overall performance ya timu katika michuano yote anayoshiriki ( michezo ya kitaifa na kimataifa) kisha wana record kila kitu kwanzia magoli ya kufunga, idadi ya magoli ya kufungwa, idadi za clean sheet, idadi ya michezo uliyoshinda, n.k wanachukua kila data inayohusiana na performance kisha vinawekwa katika asilimia ndipo unaona mwisho wa siku wanaweka rank na point. USMA kafanya vizuri kwa kuchukua kombe la shirikisho lakini je kwenye hilo kombe la shirikisho anatakwimu nzuri kuizidi Yanga? Na vipi katika mashindano ya ndani je ana takwimu bora kumzidi Yanga?
Ufafanuzi mzuri
 
Wangefungwa pia Mashabiki uchwara wa USM ALGER wasingekosa sababu kujitetea kuwa bado Wachezaji wapya hawajawa na football consistency (Chemistry) nzuri.

Lini utakuwa mwanamichezo badala ya kuwa Shabiki liandamizi la Makolokolo FC tokana na chuki, uzandiki, unafki na roho mbaya ili uwe neutral kiakili (flexible) kukubali ukweli?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Achana na huyo mjinga.
 
Nna uhakika huyu alie anzisha hii thread kuna kitu kitu alikua anataka kusema kama Al Ahly angeshinda ila ndio basi tena Mungu fundi amebakia na maneno yake mdomoni huku anasonya
 
Wangefungwa pia Mashabiki uchwara wa USM ALGER wasingekosa sababu kujitetea kuwa bado Wachezaji wapya hawajawa na football consistency (Chemistry) nzuri.

Lini utakuwa mwanamichezo badala ya kuwa Shabiki liandamizi la Makolokolo FC tokana na chuki, uzandiki, unafki na roho mbaya ili uwe neutral kiakili (flexible) kukubali ukweli?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kuna kipindi bingwa wa Europa League anamfunga Bingwa wa UEFA CL kwenye UEFA Supercup, kwa hiyo tusema pia Europa ni bora kuliko UEFA?
Sevilla alitoa draw na City kwenye supercup mwaka huu, kwa hiyo tuseme Sevilla analingana na City kwenye ubora?
 
Kuna kipindi bingwa wa Europa League anamfunga Bingwa wa UEFA CL kwenye UEFA Supercup, kwa hiyo tusema pia Europa ni bora kuliko UEFA?
Sevilla alitoa draw na City kwenye supercup mwaka huu, kwa hiyo tuseme Sevilla analingana na City kwenye ubora?
Ndio mtie akili hakuna mashindano madogo by the way maana ya super cup ni kumtafa mbabe wa wababe kasha patikana jibu unalo
 
Ndio mtie akili hakuna mashindano madogo
Mashindano yanatofautiana ubora ndio maana aliyefeli Klabu Bingwa anatupwa Shirikisho ila aliyefeli Shirikisho hawezi kutupwa kwa mabingwa, na hata zawadi kwa mshindi wa Shirikisho ni ndogo mno ukilinganisha na zawadi kwa mshindi wa mabingwa...Tumieni akili hata kidogo tu
 
Mashindano yanatofautiana ubora ndio maana aliyefeli Klabu Bingwa anatupwa Shirikisho ila aliyefeli Shirikisho hawezi kutupwa kwa mabingwa, na hata zawadi kwa mshindi wa Shirikisho ni ndogo mno ukilinganisha na zawadi kwa mshindi wa mabingwa...Tumieni akili hata kidogo tu
Unadhani Rage alitamka bahati mbaya? aliwajua watu wake, sasa imekuaje imekuaje alie feli kamkalisha kipanga? tena kashindwa kupata hata goli la offside
 
Mashindano yanatofautiana ubora ndio maana aliyefeli Klabu Bingwa anatupwa Shirikisho ila aliyefeli Shirikisho hawezi kutupwa kwa mabingwa, na hata zawadi kwa mshindi wa Shirikisho ni ndogo mno ukilinganisha na zawadi kwa mshindi wa mabingwa...Tumieni akili hata kidogo tu
Haya sasa zamu yenu kufika fainali
 
Mashindano yanatofautiana ubora ndio maana aliyefeli Klabu Bingwa anatupwa Shirikisho ila aliyefeli Shirikisho hawezi kutupwa kwa mabingwa, na hata zawadi kwa mshindi wa Shirikisho ni ndogo mno ukilinganisha na zawadi kwa mshindi wa mabingwa...Tumieni akili hata kidogo tu
Haya sasa zamu yenu kufika fainali
 
Mashindano yanatofautiana ubora ndio maana aliyefeli Klabu Bingwa anatupwa Shirikisho ila aliyefeli Shirikisho hawezi kutupwa kwa mabingwa, na hata zawadi kwa mshindi wa Shirikisho ni ndogo mno ukilinganisha na zawadi kwa mshindi wa mabingwa...Tumieni akili hata kidogo tu
Haya sasa zamu yenu kufika fainali
 
Back
Top Bottom