FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Ni muda wa kuingia makabi lipepo Junior مسيويويوريوطرطرطرطريرتطريرطرطرتوننHABIB HABIB THALATHA BIN THIFULI [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Kidudeeee kinauma 🙄
 
Upande wa Lomalisa utasababisha maafa makubwa, iwapo tu hautafanyiwa kazi mapema.

Kibwana Shomari aingie mapema iwezekanavyo kipindi cha pili, ili kuokoa jahazi.
Juzi kocha alilaumiwa sana kumuanzisha Lomalisa na mkadai kuwa game hii aamzishwe kwakua ni mzuri kwa kushambulia.
 
Unatype kiarabu hovyo ilimradi umebofya herufi tu hakuna unachojua hapo , angalia kijana utajikuta unajitukana bila kujua.
 
Huku mtaani vitoga washaanza kupuliza mavuvuzela.

Hapo ni halftime

Wakichukua kombe hali itakuwaje?
Ikitokea ni kuendelea na mambo mengine tu na kuwaachia uwanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…