ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Leo sio kombe la loser??Eeeh Mungu tuokoe na kelele za hawa watu, huu si muda sahihi wa kombe kuja Tz.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo sio kombe la loser??Eeeh Mungu tuokoe na kelele za hawa watu, huu si muda sahihi wa kombe kuja Tz.
Au ngozi ya mbupu, kwa tusiokuwa na magovi[emoji23].Mkuu yani kitendo cha Diarra kudaka ule mpira wala nisiwe mnafiki
Yani roho imeniuma kama ngozi ya govi imebanwa na zipu
Kama ni mwanaume nadhani umenielewa
Gemu imeshaanza weweBado kidogo. Wanapasha.
Hata huyo sawa.Labda Farid , kibwana tutafungwa
Ila mkichukua hili kombe sijui tutaishije sisi hapa Tz, Mungu atuepushie mbali kabisa hii dhahama[emoji23]At least tumewatandika kwao.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sikuwa mmoja ya hao mashabiki waliolaumu. Na sababu yangu iko wazi kabisa.Mashabiki huwa hamueleweki, last week mlilaumu sana Lomalisa kutokea benchi mkadai hii game hatakiwi kukosa, hamkujua kuwa ni uchochoro?
Umeeleweka.Ni kweli Lomalisa ni mzuri kwenye kushambulia. Ila kwa bahati mbaya tayari ana kadi ya njano, na mashambulizi mengi yanaelekezwa kwake.
Kwa hiyo ikitokea akapewa kadi ya pili ya njano, maana yake timu itaelemewa sana.
[emoji23][emoji23]Uchawi upo jamani
[emoji23][emoji23]Au ngozi ya mbupu, kwa tusiokuwa na magovi[emoji23].
Ila mkichukua hili kombe sijui tutaishije sisi hapa Tz, Mungu atuepushie mbali kabisa hii dhahama[emoji23]