AiseeehKona wanapata Yanga hapa dakika ya 51'
Tutazoea tu mkuu...😂😂...hata walipofika fainali tulizoea mbona...😂😂Ila mkichukua hili kombe sijui tutaishije sisi hapa Tz, Mungu atuepushie mbali kabisa hii dhahama[emoji23]
Subiri la Pili likiingia maumivu yake itakua km vile Nyoso alivyomgusa Bocco na kumpapasaMkuu yani kitendo cha Diarra kudaka ule mpira wala nisiwe mnafiki
Yani roho imeniuma kama ngozi ya govi imebanwa na zipu
Kama ni mwanaume nadhani umenielewa
Kisinda ni bonge la player.Kisinda naona kama mzigo uwanjani apumzike.
Yanga wanachukua Kombe 😀Ila mkichukua hili kombe sijui tutaishije sisi hapa Tz, Mungu atuepushie mbali kabisa hii dhahama[emoji23]
Imekataa bahati mbaya,Kama ulishawahi kucheza mpira ,inatokeaga hiyoMusonda Mshenzi mkubwa
Sio kwenye kombe mkuu, yani hatutakuwa na kauli. Acha walikose tujipange wote.Tutazoea tu mkuu...[emoji23][emoji23]...hata walipofika fainali tulizoea mbona...[emoji23][emoji23]
Unawapa?Yanga wanachukua Kombe [emoji3]
Sasa si ndiyo waanzilishi mkuu wa mambo hayo mkuu.Arabs are playing gayish ways
Very stupid kama. Mashoga vile
Haya ni madhara ya pombe za usiku.Kisinda ni bonge la player.
Unamkataa player wenu wa kimataifa?Haya ni madhara ya pombe za usiku.
Wanachukua kibabeUnawapa?