UmeshakulaNimeweka mkeka wa laki una odd 4 uto afunge bao jingine liwalo na liwe uto wakose na mimi nikose au uto wapate na mimi nipate
Mechi haijaisha ujueMan of the match Diaraaaa the mtu nanusu!!💪💪💪💛💛💚💚
Mwenyewe nitahama jf mazima,nitahama fesibuku[emoji126]Likiingia la Pili mtahama Nchi [emoji2]
Daaah, pole sana.Nimeweka mkeka wa laki una odd 4 uto afunge bao jingine liwalo na liwe uto wakose na mimi nikose au uto wapate na mimi nipate
Nimeshindwa kuvumulia kila mtu ashinde mechi zakeUmeshakula
Ameendelea kuyaweka hai matumaini yetu.Man of the match Diaraaaa the mtu nanusu!!💪💪💪💛💛💚💚
[emoji23][emoji23][emoji23]Nabi mpeni kibendera
Kwanini mkuuDaaah, pole sana.
Kwa utakachokuwa unakipitia wakati ambao unasubiri goli lingine.Kwanini mkuu
Goli la Pili ndani linaingia mda si mrefuNimeshindwa kuvumulia kila mtu ashinde mechi zake
Mbon sisikii keleleChumaaaaaaaaaa
Wananchiiiiii