Dakika 6Zimeongezwa ngapi? Lisije kupigwa la dakika za mwisho hapa.
Usm wana mawili ugenini. So ikibaki hivi ndo washindi.Kumbuka Pia Yanga leo kapata goli la Ugenini nae
Nimesikitika sana leo kujua hilo, hata huu ushindi wetu waarabu siwezi kuufurahia tena.😂😂😂😂😂mwananchi halisi
Ndio Ni matutaKwahiyo unahisi ngoma ikitoka hivi mtaenda matuta?
Meza ya kamari labdaGoooooooaaaaaaalll yanga yapindua meza kibabe.
Hakuna matuta?USMA wanapoteza muda kwa Sub za mchongo
Kufa kufa, mengine umbea😂Huku ndio kufa kiume sasa[emoji23][emoji23]
Nyinyi huku jeshi la polisi ndio linakua la kwanza kuzuia fataki na moshi, sifa za kutaka kuitwa nchi ya amani.Hilo suala inabidi caf walitoleee maelezo linavuruga mchezo
Walijua huu mchezo wa pilo utakuwa mwepesi sana kwao. Mambo yamekuwa tofauti kabisa.Wassseengeeee kumamamakez
Tulia mkuu tupo pamojaNaona waarabu wameona watumie janja ya nyani kwenye hizi dakika za mwisho kwa kuchoma mafataki na kujiangusha angusha hovyo!
Halafu utashangaa hata adhabu hawapewi!!
Bablai mmeshatema ndoano arifUSMA wanapoteza muda kwa Sub za mchongo