FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

wambane hvyo hvyo wakimuachia tu kanafasi Mayele hawatomsahau daima
 
Kiukweli hawa jamaa hawana quality yoyote Bora yanga x 50

Hata sijui ilikuwaje wakafika hapa na kukaribia kuchukua ndoo. Hawa jamaa kwa Mpira wanao ucheza wanafungwa goli za kutosha na Azam fc.

Yanga wenyewe walikuwa wanashinda goli nyingi taifa sema wao wenyewe tu wamembwela

Timu gani ipo nyumbani haiwezi piga hata pasi Tano

Yanga kazeni korodani aiseee
 
Hilo suala inabidi caf walitoleee maelezo linavuruga mchezo
Nyinyi huku jeshi la polisi ndio linakua la kwanza kuzuia fataki na moshi, sifa za kutaka kuitwa nchi ya amani.

Kule kwao fataki zimepigwa kuanzia wakiwa hotelini, huku watz wakifanya watakutwa rumande.

CAF hawatafanya lolote.


TANZANIA NCHI YA AMANI[emoji23]
 
ستتستسستيتستيتيتييرييريريتيتييتيتيتيتييتيتيتيتيتيتيتيريريتيتيتيتيتيتيتيتيتستيتيتيتيتيتيتيتيتيايايايايييتيتيتيت[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom