Huu ni mtazamo wako. Hivyo ninauheshimu.Goli la Penati halina ladha mkuu ..
Whatever it takes!Ushindi wa Penati????
Ili isipooze ilitakiwa mchukue kombe nyinyi sio? [emoji23]Waarabu ni wapumbavu, na kwa mtindo huu michuano ya CAF itaendelea kuwa ya kupooza isiyo na mvuto.
Big up sana YANGA, hakika mmepambana, hatuna tunacho wadai
Final bwana ipigwe neutral venue mambo ya away goal yatoleweNilikuwa najua wataongezwa muda kumbe ndo Kuna mambo yakipumbavu hivi..🤣🤣 waafrika ni wakuda wanwisho aisee
Unawazimu ehh!!!?First Tanzania club to Reach Final well tumefanikiwa
Jifunze kukubali uwezo wa mwenzako.. hakuna mwenye haki ya kuwa bora kikubwa uwekezaji tuuhuo upepo tu.wapo kwenye siku zao
[emoji23]Hakuna mpira wa hivi sehemu yeyote duniani
Mpira ambao mipira miwili miwili inarushwa ndani ya uwanja
Mechi inasimamishwa kwa sababu ya moshi
Mpira unaharibiwa kipuuzi tu
Mshindi ndio Yanga kashinda 0-1 kwa mechi ya Leo au unataka mshindi yupiSijaelewa mshindi anavopatikana
Sawa kuanzia Leo na nyie mtaitwa "Kufa Kiume FC"
Nimeshangaa ati mpira unaisha wanashangilia..🤣 huu ni utapeli haswaa dah!Home and away ife na goal la ugenin life huu usenge yani unashinda alafu kombe anachukua mwingine
Wamekufa kiumeLilikuwa lao tangu lini, na walipewa na nani?
Unajua acheni kupaniki[emoji23]
Numbisa eeh, [emoji1]Tumekufa kiumee
HII NDO MAANA HALISI YA KUFA KIUME
Yule mama yule sijui ana kitu gani. Huko mbeleni timu ikipewa msaada na yule mama yule bora wamsusie