Hahahaha heshima acha utani aiseeHongereni sanaaaaa mmeweka heshima kwa Yanga na taifa pia.
Big up kwa Yanga....[emoji123][emoji123][emoji123]
Yanga wamekutana na timu dhaifu Sanaa.....zingine zimeshuka daraja hukoo .....Ila tuacheni utani, hawa Uto SIMBA tusipojipanga kazi itakuwa ni kukaa pembeni na kuwaombea mabaya kama hivi.
We nani aumie sasa. Tumeshangilia mbona ππUnga fc japo mnashangilia ila moyoni mmeumia sana Yanga kupata goli ugenini
Mbona makasirikoSijifariji nimefika fainali na medali nimevaa wewe Mwakarobo ushawahi kufika?
Maana CAF hawakujui kabisa kama ushawahi kunusa fainali.
Sio kwamba nawapenda Yanga sana[emoji23]
Mliwacheka Simba ambao anagalau walipiga p
Na Rais wa shirikisho yupo hapo hapo jukwaaniHalafu zinaongezwa dakika sita , ujinga kabisa
Nani kkasirika kaa hapo uangali mwanaume wa kwanza kutoka Tanzania anavaa medali.Mbona makasiriko
Umeanza kuonea wivu dada zakoYule mama yule sijui ana kitu gani. Huko mbeleni timu ikipewa msaada na yule mama yule bora wamsusie
We nani aumie sasa. Tumeshangilia mbona ππ
Mmetoka ndani Dk 90....! Hata kwenye Matuta hamjafika...!Ukisikia kufa kiume sasa ndiyo huku. Yaani bingwa anachukua kikombe, huku akiwa amegongwa mbele ya mashabiki wake lukuki.
Uchawi huwa unaanza hivi hiviSina Cha kusema zaidi ya Asante Mungu maana mtaani tusingeishi hadi huu mwaka unaisha.View attachment 2645224
Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app