Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Unataka kisingizio gani, na wakati mchezo ulikuwa ni wa fainali, na lazima mshindi apatikane?Hakuna kisingizio hapa cha moshi, hataki...
Tusubiri visingizio uwanja wa ndege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kisingizio gani, na wakati mchezo ulikuwa ni wa fainali, na lazima mshindi apatikane?Hakuna kisingizio hapa cha moshi, hataki...
Tusubiri visingizio uwanja wa ndege
Tulia wewe[emoji23]guvu moyaaaaaaaaa tumefika fainali na kufa kiumeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AZIZ MAUFUNGUO [emoji23]Hapa tumepigwa View attachment 2645228
Simba vs zamalek au ulikuw kiunoni kama bao ulikuwa badohujatoka ?Wangekuwa na roho mbaya wangekubali kufungwa nyumbani kwao, tena kwenye mechi ya fainali!!
Vipi kuhusu simba, hivi ilishawahi kushindwa kwa hao waarabu wenye roho mbaya?
Tulia wewe[emoji23]
Wivu tu umekujaa. Yanga anarudi kama mshindi wa pili. Na bado kuna tuzo ya mfungaji bora wanarudi nayo!!Safari ya chizi umbali mrefuuu mwisho anarudi na makopo
Poor utopolo
Ushauri mzuriKUFUATIA MAUJINGA MENGI YALIYOTOKEA LEO UANJANI IKIWA MOJAWAPO LA VIJANA CHIPUKIZI WAOKOTAJI MIPIRA KUTUMIKA KATIKA KUPOTEZA MUDA, NAISHURI TFA YAPELEKE MAPENDEKEZO CUF KUWA FAINALI ZA MASHINDANO YA NAMANA HII, YASIFANYIKE KATIKA NCHI HUSIKA. IWE KAMA VILE ULAYA WANAVYOFANYA
Unataka kisingizio gani, na wakati mchezo ulikuwa ni wa fainali, na lazima mshindi apatikane?
Hizi league za Afrika hazieleweki wakuu 😀😀😀Mie tu sielewi au???
Yaani yanga kashinda??
Atapata kombe???
Maana watu wanasema yanga kapigwa sijui na kombe hapati???
Nipeni ufafanuzi
Kwa Nini usianze kumuondoa mvaa jinzi panaa,kolo wahedTuanze mchakato wa kuliondoa benchi lote la ufundi la uto tukianza na nabi na yule mrundi. Hawana faida yoyote
Mbona Wameshinda? We hukuangalia mpira? Usituchoshe mkuuYanga walistahili kushinda kwa kila namna, kosa moja waliruhusu kufungwa magoli 2 - 1 nyumbani
lala utaelewa keshoMie tu sielewi au???
Yaani yanga kashinda??
Atapata kombe???
Maana watu wanasema yanga kapigwa sijui na kombe hapati???
Nipeni ufafanuzi
Naona roho inakuuma mkuuUna lose hadi kwenye loser, hivi we ni loser wa namna gani?