Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Eti na sisi,Refa tupe nasisi penati hiyo
Kwahiyo na wewe ni
Union Sportive de la Madina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti na sisi,Refa tupe nasisi penati hiyo
Hii kombe ni letu mkuu hatuna mashaka sisi USMA 😀Sisi USMA hatuna wasiwasi.
Nakurudisha Darasani kidogo, husipo elewa basi.Kwa mujibu wa chanzo kipi, kwamba nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara zipo na nyinyi?
Nyie chezeni[emoji23]
Hahahahaaa! Wamekimbia. 🤣🤣🤣Makolo Kimyaaaaaaaaaaaa!!
Yanga itawashangaza nyie Waarabu wa mchongo (Waarabu koko)...💪💪💪Msishangilie sana, msije kukauka sauti kisha kombe mkose.
[emoji23][emoji23]
Tunawaangalia tu, wakauke sauti kwa kushangili halafu kombe tubebe sisi USMA.[emoji23]Hii kombe ni letu mkuu hatuna mashaka sisi USMA [emoji3]
Usitukimbie tuWale wapiga kelele tuendeleeni na kelele zetu. 🤣🤣
NAKAZIAHii kombe ni letu mkuu hatuna mashaka sisi USMA
Tupo hapa tumetia kambi ni swala la mda tuMakolo Kimyaaaaaaaaaaaa!!
Hukuelewa hoja yangu, hilo sio swala ambalo unaweza kunifundisha mimi.Nakurudisha Darasani kidogo, husipo elewa basi.
View attachment 2645159
Hizo zenye kijani ndizo Sub-Saharan Africa na timu iliyobaki ni Yanga.
Hahahaaa!! Lol.Usitukimbie tu
Yanga inapambana na waarabu wa aina mbili hawa wa Algeria na hawa Waarabu weusi (koko) wa kukodisha....😂😂😂Makolo Kimyaaaaaaaaaaaa!!
Tupo hapa tumetia kambi ni swala la mda tu
Say it louder pleaseGoli la tuta sio goli siku zote
Sisi waarabu tunasema زنشووظمسمممم yaani inamaanisha Uto mmeyakanyaga