Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli la penalt halina matarajioHata ilo moja hamkutarajia kama yanga watafunga.
Sawa sawa yanga bingwa leoMimi nilishasema game la leo ni 2 - 0 yanga analeta kombe jangwani tunanywea gambe kesho jpili.
Nyuma MWIKODaima mbele..
Wanakera full kujiangusha sijui wamekula urojombona yanga wanamulikwa na miale ya kijani na mashabiki kila washikapo mpira mbona waarabu hawajiamini mixer kujiangusha uwanjani hovyo hovyo tu
Figisu hizo...mbona yanga wanamulikwa na miale ya kijani na mashabiki kila washikapo mpira mbona waarabu hawajiamini mixer kujiangusha uwanjani hovyo hovyo tu
Afadhali we Mkuu umeamua kuwawakilisha wenzio. 🤣🤣🤣Ni swala la mda tu huenda hako ndio kakawa ka goal keni kwa siku ya leo
Burundi kunafaa..😂😂Uto akishinda hiki kikombe tutafute pa kujificha dadeki
Waarabu hua ni weupe uwanjani,ni ujanja ujanja tu na kubebwa ndio wanapendambona yanga wanamulikwa na miale ya kijani na mashabiki kila washikapo mpira mbona waarabu hawajiamini mixer kujiangusha uwanjani hovyo hovyo tu
Hakuna cha kujificha wala nini, ni kukokomaa nao tu .Uto akishinda hiki kikombe tutafute pa kujificha dadeki
Hahaha. Kazi tunayo.Uto akishinda hiki kikombe tutafute pa kujificha dadeki
wacheze mpira wa kiumeeeeWanakera full kujiangusha sijui wamekula urojo
Tutaelewana tu kidogo kidogo, ngoja tuonyeshane makaliKwani kuhamia Yanga shi'ngapi mwe jameeni? kwanini niteseke..???