Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
Kabisa mkuu, sina amani kabisa akiendelea kuwepoHuyu mwamba wakiendelea kumuacha basi kipindi cha pili tujiandae tu kwa maumivu. Maana upande wake leo ndiyo umegeuka kuwa uchochoro wa hao jamaa.