Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa yaan kuna nchi inaelekea hawana shobo na mpira sijui. Hafu uwanja mzuri knm.Mbona future hawana mashabiki uwanja mweupe kbs
Hao Future (Coca Cola FC) wamepanda daraja 2020/21 kwahiyo ni team ndogo.Cha kushangaza waliojaa ni watanzania hapo uwanjani
Na Singida weshakuwa na goli la ugenini tayariSingida 2 Future 1 kwa jumla
Nilichojifunza Kwa Afrika nzima,Kuna nchi chache zenye Mashabiki loyal,Tanzania tupo vyema hapoMbona future hawana mashabiki uwanja mweupe kbs
Wakitoka Future 2 Singida 1 kuna matuta?Waongeze mawili zaidi
Naunga mkono hojaHii Singida ndio ilitakiwa kucheza klabu bingwa afu Simba acheze shirikisho...😅
Hii isue ya goal la ugenini siipendi.Na Singida weshakuwa na goli la ugenini tayari
Watakuja 🤣🤣Hii Singida ndio ilitakiwa kucheza klabu bingwa afu Simba acheze shirikisho...😅
Kwa sasa tupo vema. Tuna ligi nzuri mchawi national team tu.Tanzania football giant wa Africa mashariki
Shauliyao na pira papatu papatu😅Watakuja 🤣🤣