FT: CAFCC: Simba SC 2-0 CS Constantine | Estadio Benjamin Mkapa | 19.01.2025

Protect

Senior Member
Joined
Apr 4, 2020
Posts
103
Reaction score
362


Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa, Simba SC leo wataingia uwanjani kupambana na CS Constantine kutokea Algeria kwenye mechi ya mwisho ya makundi

Mechi hiyo ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio itakayoamua nani ataongoza kundi lao. CS Constantine wapo nafasi ya kwanza na Simba wapo nafasi ya pili

Kabumbu hilo ambalo litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam litaanza saa kumi jioni

Ungana nami katika kufuatilia mpambano huo

Ubaya Ubwela



Full Time: Timu ya Simba imefanikiwa kushinda kwa magoli 2-0 dhidi ya CS Constantine
Magoli ya Simba yalifungwa na Kibu Denis na Ateba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…