Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
N A K A Z I AKila la heri kwa wawakilishi sahihi wa Kimataifa
Simba Sports, Mnyama Mkubwa Mwituni
🦁🦁🦁
N A K A Z I A#Ubaya ubwela 🔥
Nimejitoa kushabikia mpira kwa muda.View attachment 3205833
Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa, Simba SC leo wataingia uwanjani kupambana na CS Constantine kutokea Algeria kwenye mechi ya mwisho ya makundi
Mechi hiyo ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio itakayoamua nani ataongoza kundi lao. CS Constantine wapo nafasi ya kwanza na Simba wapo nafasi ya pili
Kabumbu hilo ambalo litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam litaanza saa kumi jioni
Ungana nami katika kufuatilia mpambano huo
Ubaya Ubwela
Hongereni Simba kwa hatua hii mliofika.View attachment 3205833
Wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho barani Africa, Simba SC leo wataingia uwanjani kupambana na CS Constantine kutokea Algeria kwenye mechi ya mwisho ya makundi
Mechi hiyo ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio itakayoamua nani ataongoza kundi lao. CS Constantine wapo nafasi ya kwanza na Simba wapo nafasi ya pili
Kabumbu hilo ambalo litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam litaanza saa kumi jioni
Ungana nami katika kufuatilia mpambano huo
Ubaya Ubwela
Gusa, achia; Rudi matopeni. 😅Looser cup 😀
Duu! Hii mpya kwangu.Hata ikitokea Simba tumebeba kombe furaha nitakayokuwa nayo bado hailinganishwi na furaha niliyoipata kwa Yanga kutolewa makundi.
Kombe la LoosersYanga wengi hawana usingizi
Baki Nbc nyumbani kumenoga...😂😂😂Nimejitoa kushabikia mpira kwa muda.