Pole bantu lady😊Usiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?
Mimi hata ningekuwa siko Yanga, siipendi acheni kuna wachezaji. Hapa Aucho kule Mzize Babeki.
Daaah!!!Usiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?
Mimi hata ningekuwa siko Yanga, siipendi acheni kuna wachezaji. Hapa Aucho kule Mzize Babeki.
😁😁 mtajua mwenyewe mkuuKama kujenga timu ni huko hapana sijui itakuaje mkifikia level ya mafanikio.
Yanga yangu jana imenisikitisha sana, au waliuza mechi? Samahani nshachanganyikiwa adi nakuuliza wewe na ni mwanasimba
hahah...pole mtan...naona vile umejawa na maumivuHongereni watani, ila ndiyo tutakoma kelele mitaani😀😀
Yanga hii ya German mashine sijawahi kuwa na imani nayo na sitokaa niwe na imani nayo.😁😁 mtajua mwenyewe mkuu
Hata kwenda mikoani ?Msimu huu Yanga hatapanda tena ndege.
Kiukweli jana niliumia aisee, ila basi maisha inabidi yaendeleeH
hahah...pole mtan...naona vile umejawa na maumivu
Tukome mara ngapi hapa nanyweshwa bia za pole na ndio utaratibu huo kila simba wakicheza michuano ya kimataifa.Hongereni watani, ila ndiyo tutakoma kelele mitaani😀😀
Bantu lady, your so beautiful. Niwe tu mkweli mate yananidindokaUsiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?
Mimi hata ningekuwa siko Yanga, siipendi acheni kuna wachezaji. Hapa Aucho kule Mzize Babeki.
Enjoy mkuu, mnaringaaTukome mara ngapi hapa nanyweshwa bia za pole na ndio utaratibu huo kila simba wakicheza michuano ya kimataifa.
Naomba Simba iwagawie na Tabora United mazabe yao.Usiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?
Mimi hata ningekuwa siko Yanga, siipendi acheni kuna wachezaji. Hapa Aucho kule Mzize Babeki.
🥰🥰🥰🥰Bantu lady, your so beautiful. Niwe tu mkweli mate yananidindoka
Ni mfumo wq maisha ya Dunia tu ..Kila mmoja atapitia maumivu kwa namna tofauti....Kiukweli jana niliumia aisee, ila basi maisha inabidi yaendelee
Kelele ilizimwa toka janaHongereni watani, ila ndiyo tutakoma kelele mitaani😀😀
Mimi mwananchi sina cha kuringia labda jeziEnjoy mkuu, mnaringaa
Ya kweli hayo au bado upo na makasiriko ya Uto kuishia makundi?Usiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?
Mimi hata ningekuwa siko Yanga, siipendi acheni kuna wachezaji. Hapa Aucho kule Mzize Babeki.