THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Machura yanaumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kawaza kama mzabzabBikini na hii flat screen au ndiyo tungefungwa wiki, bt bikini na mpira vinahusianaje mkuu?
Hakuna timu nzuri kama Yanga. Ukiwa na kichwa timamu lazima uishabikie Yanga. Sijui nikuelezeaje hii Yanga uwiii. Hilo litimu lenu madunduka silipendi sijui nalionaje. Hata wachezaji hawaeleweki, njoo kwa masbabiki sasa 🤭🤭🤭🤭🤭Kwa nini sasa unaichukia timu kubwa kama Simba ilhali timu unayoshabikia ni ndogo kama piriton?
Unakuwa mwepesi zaidi bukta itakucheleweshaBikini na hii flat screen au ndiyo tungefungwa wiki, bt bikini na mpira vinahusianaje mkuu?
Sijajua ni muda sijamfuatiliaU
umenikumbusha kuhusu Gamond... Hivi huyo jamaa yupo wapi kwa sasa?
Ni kweli kwenye mpira anawaza mbususu tuLabda kawaza kama mzabzab
Gamondi ni mjanja sana yaani katulia tuli akiwachora tu waliomtimua kisha wakaishia makundi.Sijajua ni muda sijamfuatilia
Aaah wapi ukiwa na akili timamu?Hakuna timu nzuri kama Yanga. Ukiwa na kichwa timamu lazima uishabikie Yanga. Sijui nikuelezeaje hii Yanga uwiii. Hilo litimu lenu madunduka silipendi sijui nalionaje. Hata wachezaji hawaeleweki, njoo kwa masbabiki sasa 🤭🤭🤭🤭🤭
Wee ngoja upate akili, utajikuta unaanza mahaba na Yanga.Aaah wapi ukiwa na akili timamu?
Wakati Yanga wenye akili ni wawili tu?
Ama Kweli naamini Yanga wenye akili ni wawili tu!
😁😁😁
Kwa Simba, Hakuna uhusiano wa kufika robo ya mashindano ya Africa na ubovu wa timu.Usiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana.
Za Horoya?Ila hawa leo tungekuwa tuna accuracy ubao ungesoma hata 7-0