Watakuwa wamejifunza bana.Hawataki sasa wanajiona wanayaweza
Msimu ujao mambo yatakuwa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wamejifunza bana.Hawataki sasa wanajiona wanayaweza
Nilimuhurumia sana yule ndugu.Angejifia bure.Awe anauliza kabla ya dhahma kumkuta.Angelogwa adakeee asingerudi Algeria
Kabisaa haipingwi kabisaaaa...sasa una mke Simba utaichukiaje? Hahaha
Kabisaaa mazarau yataishaWatakuwa wamejifunza bana.
Msimu ujao mambo yatakuwa sawa
Perfect 👊Naiombea SIMBA yangu ushindi wa kujenga heshima na kuweka rekodi👌🏿💪🏿💥
Ni kwa ajili ya "thupu"?
Mimi napenda kusoma hizi nyizi baada ya mechi..ili kuona watu kama nyie mnavyumbukaHuyo Ateba ni kiazi kabisa.
😂😂Kama kujenga timu ni huko hapana sijui itakuaje mkifikia level ya mafanikio.
Yanga yangu jana imenisikitisha sana, au waliuza mechi? Samahani nshachanganyikiwa adi nakuuliza wewe na ni mwanasimba
Ndiyo anapoonekana mwenye komenti ni kiazi kichelema.Mimi napenda kusoma hizi nyizi baada ya mechi..ili kuona watu kama nyie mnavyumbuka
Hii ni lugha gani?Looser cup 😀
Manyani huwa wanajua kuongea,kuandika na kuhesabu kwa usahihi?Wapowapo tu kama vibaka.Na usimkosoe hadi aende tuisheni.Hii ni lugha gani?
Kuna hatua unaona ukilalamika unawatia hasira watu kisha watakufanya kitu kibaya. Nlishawahi mkata vibao mwizi kisha nikamuuliza au nakuonea? Akasema hapana baba nisamehe tu mimi nakusababishia unipige.Sema mwarabu kachoka hata kulalamika hawezi
Lugha ya Kitopolo, kinatumika Mtaa wa Jangwani/TwigaHii ni lugha gani?
Ok. Hapo nimeelewaLugha ya Kitopolo, kinatumika Mtaa wa Jangwani/Twiga
😂😂😂Ni kwa ajili ya "thupu"?
Hawa jamaa wanajenga team.Usiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?
Mimi hata ningekuwa siko Yanga, siipendi acheni kuna wachezaji. Hapa Aucho kule Mzize Babeki.
Ndio..wanasema sio vizuri kumaliza manenoNdiyo anapoonekana mwenye komenti ni kiazi kichelema.
Wakajua supu inaongeza nguvu kwa masaa mawili bila kujua akili huwa zinamilikiwa siku zote?Watani ni wehu wallah!🤣🤣🤣
Naona alikusikia Mkuu.Huyu mpanzu asijaribu kufunga, kazi yakee iwe ni kutoa pasi tu