Habari inaishaje wakati yanga na mc algers wanapasuana wenyewe kwa wenyewe?Kwa hili kundi timu 3 zinashindana kuingia.
Al Hilal bado hana uhakika akipoteza hizo game 2 habari yake imeishia hapo
Hapo Al hilal kashapita tayariHapa Al hila ili awe na amani inabidi ashinde akija kwa watani awe karelax. Adui wa Yanga awe Mc.
Kashafuzu hata akipigwa mechi zote zilizobakiKumbuka Al Hilaly bado hajafuzu!! Ataua mtu kwao kule.
Soma kwa makini ulichoandika, YANGA AKISHIDWA?Ndio shuleni kwenu mlivyofundishwa hesabu? Akipoteza mechi huku Yanga ikishinda zote hawezi kufuzu kwasababu yeye akishinda mechi moja pekee atakuwa na point 8 huku Yanga kama ikishindwa mechi zake zote mbili watakuwa na point 10. Uwe unaongea kwa mahesabu sio kuropoka tu
Mazembe hakukuwa na team pale. Mazembe ilishakufa muda tuYanga anapita atawapasua hao wote mgumu alikua mazembe nae alikua anatafuta nafasi hao wengine mtashangaa idadi ya magoli tupo hapa ni Jumapili ijayo tarehe 12 na 18 mwezi huu tunamaliza kazi..
Al Hilal sio mgumu kwenu?Yanga anapita atawapasua hao wote mgumu alikua mazembe nae alikua anatafuta nafasi hao wengine mtashangaa idadi ya magoli tupo hapa ni Jumapili ijayo tarehe 12 na 18 mwezi huu tunamaliza kazi..
Daah ....pumbav sanaYanga mngekubali kufungwa na Mazembe jana mkajikita kwenye ligi na Mapinduzi. Huku kwingine ni kujiongezea maumivu tu bila sababu.
Kwa jinsi mlivyokichelewesha kifo chenu ndiyo maumivu na gharama za kuokoa maiti zinavyoongezeka.
Kupata matokeo inakua ngumu sana ila Yanga mechi zote huwa wanawashika wale jamaa tofauti na Mazembe gemu inakua 50/50 na tunashinda..Al Hilal sio mgumu kwenu?
Wanakosajiri mazembe ndio hizi Timu zetu zinasajiri miaka hiyo Yanga/Simba wamesajiri sana ni Rwanda na Burundi sasa hivi viungo wa Mazembe ni West Africa wapo na viungo wa Yanga/Simba wanatoka huko huko hapo yeyote anakufa..Mazembe hakukuwa na team pale. Mazembe ilishakufa muda tu
Droo!!!
Maana yake? πππ
Yanga Tushafuzu
Ili kurahisisha kazi TP Mazembe tuokoe huko Algeria, upate hata sare
Ww unatupangia......Alaa!Mc Alger wana mechi na Mazembe nyumbani kwao hata wakifungwa kwa mkapa, Yanga hatoboi kwa Hilal
View attachment 3193686
Mazembe miaka kadhaa sasa imepoteana siyo ile Mazembe ya miaka ile.kwa sasa wanaanza kujenga team upya. Yaani kiuwezo hata Yanga ipo vizuri sana kuliko Mazembe hii ya sasa hamna team hapo. Hii Mazembe hata Yanga ikicheza nao mara 5 itawafunga tu.Wanakosajiri mazembe ndi hizi Timu zetu zinasajiri miaka hiyo Yanga/Simba wamesajiri sana ni Rwanda na Burundi sasa hivi viungo wa Mazembe ni West Africa wapo na viungo wa Yanga wanatoka huko huko hapo yeyote anakufa..
Yaani unaichukulia poa TP Mazembe iliyocheza semi final last season ππ€£Mazembe miaka kadhaa sasa imepoteana siyo ile Mazembe ya miaka ile.kwa sasa wanaanza kujenga team upya. Yaani kiuwezo hata Yanga ipo vizuri sana kuliko Mazembe hii ya sasa hamna team hapo. Hii Mazembe hata Yanga ikicheza nao mara 5 itawafunga tu.
Msimu uliopita si ilicheza Nusu final ya CCL? Team ya hivyo unaiitaje mbovu!?Mazembe miaka kadhaa sasa imepoteana siyo ile Mazembe ya miaka ile.kwa sasa wanaanza kujenga team upya. Yaani kiuwezo hata Yanga ipo vizuri sana kuliko Mazembe hii ya sasa hamna team hapo. Hii Mazembe hata Yanga ikicheza nao mara 5 itawafunga tu.
Huna akiliBado nyie ni marehemu mechi 4 mna point 4
Yanga hatuna. Hizo mambo.......Kusubiri mpaka fulani afungwe ni uchawi
Kombe la watotoNdiyo lakini bado Simba hajacheza na Bravos kwahiyo mpaka hiyo game.Kingine Simba chance ya kuwin hizi game mbili ni kama 70%
Sisi matokeo kwa Al Hilal iwe ni draw au Mazembe atoe draw na muarabu ikiwa tutapoteza game kwa Al Hilal.Al Hilal anatakiwa ashinde ajitenge kabisa. Sisi tutampiga hapa MC Alger, then ataenda kudraw na Mazembe. Halafu sisi tutadraw na Al Hilal. Tutakua na point 8 nyuma ya Al Hilal