FT: CAFCL - Al Hilal Vs MC Algier | (1-1)

FT: CAFCL - Al Hilal Vs MC Algier | (1-1)

Ndio shuleni kwenu mlivyofundishwa hesabu? Akipoteza mechi huku Yanga ikishinda zote hawezi kufuzu kwasababu yeye akishinda mechi moja pekee atakuwa na point 8 huku Yanga kama ikishindwa mechi zake zote mbili watakuwa na point 10. Uwe unaongea kwa mahesabu sio kuropoka tu
Soma kwa makini ulichoandika, YANGA AKISHIDWA?
 
Yanga anapita atawapasua hao wote mgumu alikua mazembe nae alikua anatafuta nafasi hao wengine mtashangaa idadi ya magoli tupo hapa ni Jumapili ijayo tarehe 12 na 18 mwezi huu tunamaliza kazi..
 
Yanga anapita atawapasua hao wote mgumu alikua mazembe nae alikua anatafuta nafasi hao wengine mtashangaa idadi ya magoli tupo hapa ni Jumapili ijayo tarehe 12 na 18 mwezi huu tunamaliza kazi..
Al Hilal sio mgumu kwenu?
 
Wanakosajiri mazembe ndi hizi Timu zetu zinasajiri miaka hiyo Yanga/Simba wamesajiri sana ni Rwanda na Burundi sasa hivi viungo wa Mazembe ni West Africa wapo na viungo wa Yanga wanatoka huko huko hapo yeyote anakufa..
Mazembe miaka kadhaa sasa imepoteana siyo ile Mazembe ya miaka ile.kwa sasa wanaanza kujenga team upya. Yaani kiuwezo hata Yanga ipo vizuri sana kuliko Mazembe hii ya sasa hamna team hapo. Hii Mazembe hata Yanga ikicheza nao mara 5 itawafunga tu.
 
Mazembe miaka kadhaa sasa imepoteana siyo ile Mazembe ya miaka ile.kwa sasa wanaanza kujenga team upya. Yaani kiuwezo hata Yanga ipo vizuri sana kuliko Mazembe hii ya sasa hamna team hapo. Hii Mazembe hata Yanga ikicheza nao mara 5 itawafunga tu.
Yaani unaichukulia poa TP Mazembe iliyocheza semi final last season 😂🤣
Basi wazuri ni Makolo wanashiriki mashindano ya akina mama
 
Mazembe miaka kadhaa sasa imepoteana siyo ile Mazembe ya miaka ile.kwa sasa wanaanza kujenga team upya. Yaani kiuwezo hata Yanga ipo vizuri sana kuliko Mazembe hii ya sasa hamna team hapo. Hii Mazembe hata Yanga ikicheza nao mara 5 itawafunga tu.
Msimu uliopita si ilicheza Nusu final ya CCL? Team ya hivyo unaiitaje mbovu!?
 
Al Hilal anatakiwa ashinde ajitenge kabisa. Sisi tutampiga hapa MC Alger, then ataenda kudraw na Mazembe. Halafu sisi tutadraw na Al Hilal. Tutakua na point 8 nyuma ya Al Hilal
Sisi matokeo kwa Al Hilal iwe ni draw au Mazembe atoe draw na muarabu ikiwa tutapoteza game kwa Al Hilal.
 
Back
Top Bottom